yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Then thanksMkuu usiseme wewe ni Kilaza, Incase you do things logically, problem-solving, adaptability, creativity, fast learning, deep thinking, curiosity, memory, pattern recognition(puzzle), critical thinking, abstract reasoning, emotional intelligence(EQ), linguistic ability, mathematical ability, strategic thinking, observational skills, and innovative thinking.
You are one of among people with highest IQ
Habari wadau wa JamiiForums,
.
Dalili za Mtu Mwenye IQ Ndogo Kwenye Jamii kwa Ujumla
- Hapendi kusoma vitabu wala kujifunza: Haoni thamani ya kuongeza maarifa mapya.
Jiamini mkuu the best thing to have something is believe you can and you haveMara ya mwisho shangz dorry alisema nina IQ kubwa sana
Mh ! Mtu kakwambia yeye ni kilaza halafu unamuandikia kimombo kweli mtaelewana ?!Mkuu usiseme wewe ni Kilaza, Incase you do things logically, problem-solving, adaptability, creativity, fast learning, deep thinking, curiosity, memory, pattern recognition(puzzle), critical thinking, abstract reasoning, emotional intelligence(EQ), linguistic ability, mathematical ability, strategic thinking, observational skills, and innovative thinking.
You are one of among people with highest IQ
Tufafanulie IQ na EQ na EI ni vitu gani kwa kiswahili na tafauti yake ni nini?!IQ na EQ au (EI)
Nachojua unaweza kuwa na IQ kubwa Ila ukazidiwa mbali na mtu mwenye EI kwakuwa unavyodili na mihemko yako asilimia kubwa ndo inakutambulisha kwa watu na kukujenga zaidi.
Mfano una IQ kubwa imekufanya umepata Biashara Ila ukosefu wa EI unakupelekea unashindwa kujenga mahusiano bora na wateja wako unaishia kuwa na hasira zisizo na mwisho na baadae unakosa wateja
So IQ is nothing ukiwa una EI ndogo
Wa kwanza huyu. Tuendelee kuhesabu.1. Mada za ngono muda wote
2. Mada za Simba na Yanga muda wote
3. Kuitetea Chadema muda wote (angekuwa na high IQ angeshatambua kwamba vyama vyote pinzani vikuvyofanikiwa kuchukua madaraka barani hapa viliishia kuwa pande ya pili ya safari moja na uongozi mkongwe ulioondolewa)
IQ ndo ile akili ya kusoma na kuelewa, kukariri , n.kTufafanulie IQ na EQ na EI ni vitu gani kwa kiswahili na tafauti yake ni nini?!
ahahahahhaa safi sanaJiamini mkuu the best thing to have something is believe you can and you have
ThanksIQ ndo ile akili ya kusoma na kuelewa, kukariri , n.k
EI -ni uwezo wa kuzijua hisia zako na za watu wengine na Ku deal nazo kwa njia chanya
Mfano wewe unaweza kuwa una IQ kubwa Ila ukakosa EI mwisho ukawa unatawaliwa na hasira ,kupanic, wivu chuki n.k hivyo ikakupelekea kutokuwa na mahusiano mazuri na watu na kikawaida tunahitaji Sana watu ili kuendesha Kazi , Biashara n.k
Waweza kusoma zaidi Ila EI means (Emotional intelligence ).
Na IQ means ni intelligence Quotient
Hata ukiangalia mitandaoni asilimia kubwa hasa waswahili hawana hiyo inaitwa EI na katika jamii zetu za kiswahili pia
Kafa shabiki mmoja? Ilikuwaje?Kama mashabiki wa timu fulani waliambiwa na TFF mechi imeahirishwa lakini wakashawishiwa na viongozi wao wenye IQ ndogo zaidi kuliko mashabiki hao wakaenda kujaa uwanjani. Matokeo akafa mmoja