Mlimani health center
JF-Expert Member
- Nov 25, 2021
- 595
- 1,490
Akikwambia "afu wewe" zaidi ya mara tano tofaut tofaut kwenye chattings zenu ...andaa geto pia nunua condom kabisaNimekuwa nikijiuliza Sana kuhusu dalili za mwanamke anaekupenda unamjua kwa ishara zapi?
Mimi ninayofahamu ni tabia ya kuwa na tabasamu unapokuwa nae, vipi kuhusu body language yake......?