Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Tafsiri ya neno fisadi haikusafishi hata kwa senti moja unayo iiba, pia kuchangia uzi huu hamjawekewa walimu pekee ndio mchangie, usinipe cheo cha wanyonge mnaoibiana hadi vijihela vya kujikimu.Hapana mwalimu. Ufisadi unahusu kiwango kikubwa cha fedha sio vijisenti hivi vya walimu wenye njaa.
Huyo atakuwa mwalimu wa KemestuliNafikiri neno UFISADI ni kubwa mno kutumika hapo, sema tu UPIGAJI inatosha.
Mfumo wa Elimu bado hauendani na wakati na ndio huko tunakotoka na kuvujisha mtihani!Baadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa...
Mkuu I don't support kitendo hicho sema umetumia neno Nene mno. So wahusika watatolea ufafanuzi.Tafsiri ya neno fisadi haikusafishi hata kwa senti moja unayo iiba, pia kuchangia uzi huu hamjawekewa walimu pekee ndio mchangie, usinipe cheo cha wanyonge mnaoibiana hadi vijihela vya kujikimu.
Nimekupata Mkuu, kazi iendeleeMkuu I don't support kitendo hicho sema umetumia neno Nene mno. So wahusika watatolea ufafanuzi.
Bright idea...Mfumo wa Elimu bado hauendani na wakati na ndio huko tunakotoka na kuvujisha mtihani...
Kweli, lazima wabadili mtaalaBright idea...
Ni kweli kabisa. Inawezekanaje mtu aliyekaa shule miaka minne uje umpime kwa mtihani wa masaa 2 au 3 kisha useme huyu hawezi, hana akili au hana uwezo..?
Wengine anaweza awe totally mjinga huko nyuma. Lakini mtihani Wa mwisho kwa kutumia wizi Wa mtihani anatengenezewa alama bandia kuonesha ana ufaulu Wa juu kumbe ni bomu tupu...!
Kwa hiyo, ni hakika kabisa mtihani wa masaa 2 au 3 hauwezi kuwa kipimo sahihi na halisi cha uwezo wa mtu....
Kuwe na utaratibu wa kuwapima kila baada ya muda fulani na mwisho wa kozi/mafunzo wakawa na mtihani mmoja wenye alama 25 tu na 75 zingine zitokane na Continued Assessments...
Utaratibu huo utazuia ama kuepusha hata malalamiko kama haya na pia kupunguza gharama za uendeshaji....
Hili Jambo lipo miaka yote . Sijui baraza kwanini huwa hawafatilii? Msonde halmashauri zinakupiga Sana kupitia bajeti wanayokutumia ukituma hela wao nikuidukua kwa kuwaounja wasimamizi idadi ya siku za kusimamia.
Sasa unataka ulipwe Allowance hata kwa cku ambazo hajafanya hiyo kazi???? Serikalini kuna mambo ya ajabu sana ! Hapa hoja yako ni ipi haswa!???Baadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa.
Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti tofauti, nimegundua kwamba kuna Halmashauri zingine zimewalipa wasimamizi siku 19, zingine zikalipa siku 14 na zingine zikalipa kwa siku msimamizi atakazoingia darasani kusimamia. Kwa mfano, kama shule ina mchepuo wa sanaa pekee na ratiba ni siku tano au saba basi wamelipwa kwa siku hizo.
Swali:
Kwanini siku za malipo zitofautiane? Malipo hayo yamegharamiwa na NECTA au kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake?
Mkuu Sasa mbona umesanua dili letu , usiaribu Mambo kaa kimia, tumeisha lambaBaadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa.
Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti tofauti, nimegundua kwamba kuna Halmashauri zingine zimewalipa wasimamizi siku 19, zingine zikalipa siku 14 na zingine zikalipa kwa siku msimamizi atakazoingia darasani kusimamia. Kwa mfano, kama shule ina mchepuo wa sanaa pekee na ratiba ni siku tano au saba basi wamelipwa kwa siku hizo.
Swali:
Kwanini siku za malipo zitofautiane? Malipo hayo yamegharamiwa na NECTA au kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake?
Pole teacher vumiliaBaadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa.
Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti tofauti, nimegundua kwamba kuna Halmashauri zingine zimewalipa wasimamizi siku 19, zingine zikalipa siku 14 na zingine zikalipa kwa siku msimamizi atakazoingia darasani kusimamia. Kwa mfano, kama shule ina mchepuo wa sanaa pekee na ratiba ni siku tano au saba basi wamelipwa kwa siku hizo.
Swali:
Kwanini siku za malipo zitofautiane? Malipo hayo yamegharamiwa na NECTA au kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake?
Ubadhilifu wa mali za umma kwa manufaa ya mtu binafsi sawa na matumizi mabaya ya rasilimali za ummaUfisadi ni nini katika tafsiri ya kiswahili?
Kwahyo tumekubaliana mleta mada kafichua ufisadi.Ubadhilifu wa mali za umma kwa manufaa ya mtu binafsi sawa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
How walisaidia kuhujumu uchaguziHao waalimu hawapaswi hata kulipwa maana walisaidia kuhujumu uchaguzi
Nimecheka Sana ,kwamba avumilie wakati tunatafuna haki yake ,ila aisee watz tumekua wezi Sana,Pole teacher vumilia