Dalili za ufisadi kwenye posho za wasimamizi wa mtihani wa Kidato cha nne

Dalili za ufisadi kwenye posho za wasimamizi wa mtihani wa Kidato cha nne

Baadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa.

Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti tofauti, nimegundua kwamba kuna Halmashauri zingine zimewalipa wasimamizi siku 19, zingine zikalipa siku 14 na zingine zikalipa kwa siku msimamizi atakazoingia darasani kusimamia. Kwa mfano, kama shule ina mchepuo wa sanaa pekee na ratiba ni siku tano au saba basi wamelipwa kwa siku hizo.

Swali:
Kwanini siku za malipo zitofautiane? Malipo hayo yamegharamiwa na NECTA au kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake?
Ninashauri malipo ya mitihani wasimamizi walipwe moja kwa moja na NECTA , badala ys mfumo wa sasa wa kulipwa na Hslmashairi husika. Au nakala za malipo ziwasilishwe NECTA baada ya malipo kufanyika na Halmashauri.
2. Kuna majina ya walimu , unakuta mwalimu mmoja anapangiwa kusimimamia darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili , kidato cha nne na mwisho atapangwa tena kusimamia kidato cha sita. Hii imekaaje???? Case study iko Mkoani kilimanjaro, Tanzania mwaka 2021.
3. Ninashauri mtihani wa darasa la saba ufutwe ili kutoa mwanya vijana kupata elimu bure hadi kifato cha nne.
 
Mi sijaelewa hapa, yani kazi ya siku tano malipo yawe sawa na siku 19?

Na kama hii ilikuwa inafanyika huko nyuma huo ni wizi wa wazi kabisaaa.

Shule zote zinajulikana, pesa itengwe kulingana na mahitaji ya shule sio shule zote zipate mgao sawa wakati kuna baadhi zinahitaji pesa kidogo Au zaidi
Nafikili kwanza tujue KWa siku ni sh ngapi,
Maana Kuna kula,kulala,
Usije kuta KWa siku wanalipwa elfu 30, maana walim Bwana huwa wanapigwa na vitu vizito sana
 
Nafikiri neno UFISADI ni kubwa mno kutumika hapo, sema tu UPIGAJI inatosha.
Huenda ungefanya kupingana na post yenyewe ungeeleweka vzr kuliko kujaribu kusafisha uozo. Ikiwa ni kweli hoja zilizotolewa,basi si ufisadi ni nini??
 
Huenda ungefanya kupingana na post yenyewe ungeeleweka vzr kuliko kujaribu kusafisha uozo. Ikiwa ni kweli hoja zilizotolewa,basi si ufisadi ni nini??

Sipo hapa kupinga, sio kila wizi ni UFISADI…. matumizi mabaya ya hilo neno. Wengi wenu mmelifahamu kupitia Lowassa basi kila kitu mnaita ufisadi.
 
Sipo hapa kupinga, sio kila wizi ni UFISADI…. matumizi mabaya ya hilo neno. Wengi wenu mmelifahamu kupitia Lowassa basi kila kitu mnaita ufisadi.
Kwa faida ya wenzangu wengi naomba utusaidie kujua maana ya hilo neno "fisadi" wewe ambaye ulikuwa mwanzilishi wa neno lenyewe
 
Kwa faida ya wenzangu wengi naomba utusaidie kujua maana ya hilo neno "fisadi" wewe ambaye ulikuwa mwanzilishi wa neno lenyewe

Anza kwa kukiri kuwa hujui maana ya neno fisadi, kumbuka bado upo chini ya kiapo.
 
Ninashauri malipo ya mitihani wasimamizi walipwe moja kwa moja na NECTA , badala ys mfumo wa sasa wa kulipwa na Hslmashairi husika. Au nakala za malipo ziwasilishwe NECTA baada ya malipo kufanyika na Halmashauri.
2. Kuna majina ya walimu , unakuta mwalimu mmoja anapangiwa kusimimamia darasa la nne, darasa la saba, kidato cha pili , kidato cha nne na mwisho atapangwa tena kusimamia kidato cha sita. Hii imekaaje???? Case study iko Mkoani kilimanjaro, Tanzania mwaka 2021.
3. Ninashauri mtihani wa darasa la saba ufutwe ili kutoa mwanya vijana kupata elimu bure hadi kifato cha nne.
Hii ni kweli kabisa, nimeishuhudia pia mkoani Shinyanga
 
Kama hii post ina ukweli basi kilichofanyika ni uhuni, unapaswa kuchukuliwa hatua. Naamini halitachukua mda mrefu kabla ya wahusika hawajawajibishwa.
Ni ya KWELI kabisa. Tazama maoni ya Watanzania pande zote
 
Sasa haya malalamiko peleka CWT si mnawalipaga ili wawatetee. Walimu mnashida nyingi na hamna wa kuwasemea!
Tunafahamu walimu kadhaa wakike "huliwa" na viongozi wao ili kupata nafasi za kusimamia huku wengine wakihonga!!
Ifike mahali CWT iwe chama cha wanyonyaji tz na sio walimu maana hakuna lamaana wanaloweza zaidi ya kula mihela,kujikomba kwa wakubwa ili kutafuta vyeo serikalini.
Walimu andamaneni kuipinga CWT ninyi mlitufunza harakati za ukombozi Tanzania mnafeli wapi kujikomboa toka kwa wajinga hawa wanaowanyonya bila faida yoyote?
"FUTA CWT... FUTA DHULMA KWA WALIMU"
 
Back
Top Bottom