Dalili zinaonesha kuwa Simba hawana malengo na Kombe la CAF

Usijali! Tukitolewa kwenye hatua hii, basi dada zetu wa simba Queens watatuwakilisha vizuri tu kwenye mashindano yao ya wananwake.

Isitoshe mwekezaji wetu kwa sasa ni promota maarufu nchini! Hivyo ataitisha mapambano mengi na mabondia kutoka pande zote za dunia, kuja kuitangaza nchi yetu.
 
Mtopolo mwenzako huyu naona mnaelewana lugha.
 
hapa nakuunga mkono bwasheee kama tungepewa ile zalan ya sudan kusini sasa hivi tushatolewa siku miingiiii, nyasa bullets wepesi mnooo
Simba sio Biashara United! Kumbuka Simba kuingia makundi sio issue hawa ni wazoefu kwenye haya mashindano ondoa shaka, ndani ya kipindi cha miaka 4 robo fainali mbili! Hata hao Waangola wanajua wanakwenda kukutana na timu ngumu.
 
Kipindi Mo akilalamika kupata Hasara wa bongo wengi walikuwa waki beza na kuamini alikuwa anapata faida kubwaa .......ifike pahala mwenye pesa zake za halali aheahimiwe na sio kudhihakiwa, .... Utopolo hao hapo wame kaa kimya mdhamini kanjanja ajisombea tu
 
Mleta mada nadhani umetosheka na majibu murua kabisa kutoka kwa mashabiki wa majayanti ya soka Africa mashariki.
 
Hivi nyie mnaosema hapo Simba kuna tatizo hilo tatizo mbona hamlitaji?.naona kila mtu simba kuna tatizo....pale simba kuna tatizo si mlitaje hilo tatizo?.Kama familia tuu ya watu 4 haikosi changamoto ndo ije kuwa taasisi kubwa kama Simba?.nyie endeleeni kusubiri hilo tatizo lifumuke mlifume upya la sivyo naona mnapoteza sana muda kuijadili Simba..
 
Ni wivu tu
 
Simba itasafiri kwa ndege ya kukodi kwenda Angola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…