Dalili zinazofanana na za ukimwi.

mara nne ndan ya mwaka mzima? huo sio ukimwi kbsaaaa, maxmn diagnosis ya HIV n siku 84/3months
 
Pole sana,nakuombea upate vipimo sahihi na matibabu sahihi utakuwa mzima ondoa hofu fuatilia vipimo ukiwa na matumaini ya kupata suluhisho.
 
Pole kwa maradhi, nakuombea ili Mungu akuponye mapema mkuu, jitahidi kutafuta tiba maana kadiri muda unavyozidi kwenda tatizo litazidi kuongezeka.
Ni kweli npo xehemu yenye barid xan
 
N kweli npo xehemu yenye barid xan pia hali ya mazngira yaan ukiunganixha na maixha raha inaixha kbxaa
 
Inawezekana kuwa na upungufu WA kinga mwilini pasipokuwa na Hiv..

Kinga inaposhuka inasababisha magonjwa nyemelezi kushambulia.

Kumbuka cancer, TB, na magonjwa mengineyo yanachangia kupunguza kinga ya mwili.
 
Inawezekana kuwa na upungufu WA kinga mwilini pasipokuwa na Hiv..

Kinga inaposhuka inasababisha magonjwa nyemelezi kushambulia.

Kumbuka cancer, TB, na magonjwa mengineyo yanachangia kupunguza kinga ya mwili.
Sawa ndg nmekuelewa labda pia nifanye uchunguz kuhuxu hilo
 
Nmepima hospitalin kilichopatikana vidonda vya tumbo, amoeba na minyoo ila kwenye vipimo vya computer ndo nkaambiwa et damu yangu imechafuka nikapewa dawa sikupata nafuu toka mwez wa nane mwaka jan mpk xaiv ndo hali inazd kuwa mbaya

Kwani kuna MTU uli-ngono-ka naye na baadae ukagundua ameathirika na HIV+..?
 
1. Vipimo haiwezekani kudanganya kwa vipindi tofauti tofauti japo true positive na true negative as well as false positive and false negative huwa zipo.
2. Dalili unazoona wewe ni zipi?
 
Mbona dalili nyingi za magonjwa zinafanana tu. Mf malaria/typhoid,ukimwi/kansa/kisukari,pneumonia/bronchitis,mimba/myoma,..... nk.
Ukitoa neno ukimwi ktk orodha ya magonjwa ulioweka hapo juu, hayo magonjwa mengine uliotaja ndo yanakushambulia kwa pamoja na kuleta ukosefu wa kinga mwilini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…