Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Pole sana, kwa hio upo singo?Alibadilika tabia, alipunguza mawasiliano, uligundua uaminifu hakuna au jambo gani lilitokea ukajua wewe na yeye hamna future na mtaachana.
View attachment 3243126
"Nalivua pendo by Mwasiti" ikakuburudishe
View: https://youtu.be/izcxbUPTrUQ?si=hIdmOxxm9T1OTO0B
Ukituma msg hajibu mpaka umtafute niliteseka miaka ile 2016 lkn siku hizi nimekua konki master mtoto wa mtu akizingua navuta chuma kipyaIlikuwaje, je alibadilika tabia, alipunguza mawasiliano, uligundua uaminifu hakuna au jambo gani lilitokea ukajua wewe na yeye hamna future na mtaachana.
View attachment 3243126
View attachment 3243130
"Nalivua pendo by Mwasiti" ikakuburudishe
View: https://youtu.be/izcxbUPTrUQ?si=hIdmOxxm9T1OTO0B
Noma Sana mkuu.Nilikuwa busy toka asubuhii ππ hata sijui mahusiano yapoje secretarybird
Hatare hatare secretary wa kiume π πNoma Sana mkuu.
Alinyoa nywele za sehemu za Siri kwa mtindo wa kiduku na kuzipaka brichi, nakatambua kuwa kuna mtu amempa agizo lile.Ilikuwaje, je alibadilika tabia, alipunguza mawasiliano, uligundua uaminifu hakuna au jambo gani lilitokea ukajua wewe na yeye hamna future na mtaachana.
View attachment 3243126
View attachment 3243130
"Nalivua pendo by Mwasiti" ikakuburudishe
View: https://youtu.be/izcxbUPTrUQ?si=hIdmOxxm9T1OTO0B
π€£π€£π€£ kumbe wanapakaga mpaka rangi vooz*yAlinyoa nywele za sehemu za Siri kwa mtindo wa kiduku na kuzipaka brichi, nakatambua kuwa kuna mtu amempa agizo lile.
Nilimtosa.
Kuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".Hatare hatare secretary wa kiume π π
Yule alitisha mno.
Na ungekoma πKuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kulimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Acha kabisa, nilisota!Na ungekoma π
Sasa huyo wa laki, si ungempa tu jamani.Alikata mawasiliano ghafla nikaona dalili mbaya kumuuliza so it's over akajibu yes tukaishia hapo.
Kuna aliesema anza kunitreat kama rafiki nikahisi kitu kumuuliza eti mahusiano yetu yalikuwa ka-game tu, tukaishia hapo.
Kuna alieomba hela eti naomba kama laki1 mpenzi nikaona bad sign hii, tukaishia hapo.
Kuna aliesema nakupenda mume wangu nataka uwe baba watoto wangu nikaona uhuru wangu unaenda kutoweka, huku anajua mi ni kataa ndoa, tukaishia hapo.
Mshangazi dot com mpenzi wako wa kwanza mliiachana vipi π