Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Yani umeniita sheikh kama mimi kwenye mambo ya kipuuz kama haya 😃Kuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.