Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Yani umeniita sheikh kama mimi kwenye mambo ya kipuuz kama haya πKuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Afu akimaliza unakula romance π?Kuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Ndo naonesha majuto yangu mkuuπYani umeniita sheikh kama mimi kwenye mambo ya kipuuz kama haya π
Kuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Ndo maana yake.Afu akimaliza unakula romance π?
laki1 ndio ilikuwa utajiri wangu yaani my net worth π acha tu yaani dah! afu nimpe tena alitaka akanunue mazaga ya birthday yake.Sasa huyo wa laki, si ungempa tu jamani.
Na hata aliyetaka kukuzalia naye ukamkacha, daa we kijana.
Wangu wa kwanza alikua king'ang'anizi sana, mimi nilikua msichana wake wa kwanza na yeye alikua wangu wa kwanza. Alitaka kunioa na miaka 20 na mimi nilitaka kuiona dunia zaidi, so nikamuacha.
Kama kawaida yako...........π€£ π€£ kwani unawatoaga wapi?
Labda ilibidi umpe angalizo, inalambwa na kumungunywa tu hakuna kutia meno π
HeheheNdo naonesha majuto yangu mkuuπ
Tupe uzoefu mkuu. Unafanyaje?Mimi ndo naonyeshaga dalili ππ
Hapana, last time I was single ilikua 2003 πAlijin
Pole sana, kwa hio upo singo?
Mahusiano yalipokuwa mapya alikuwa anamumunya kwa ustadi wa hali ya juu utafikiri alikuwa kibogoyo, kadiri siku zilivyozidi kwenda mambo yalizidi kubadilika, natumai ningeendelea naye angeutafuna kabisa muwa wangu wa thamani.π€£ π€£ kwani unawatoaga wapi?
Labda ilibidi umpe angalizo kuwa, inalambwa na kumungunywa tu hakuna kutia meno π
Sawa Pro π ila ukioa itakuwaje sasa?Ukituma msg hajibu mpaka umtafute niliteseka miaka ile 2016 lkn siku hizi nimekua konki master mtoto wa mtu akizingua navuta chuma kipya
Kila nyuzi ya mambo haya upogo, unapendaga mwenyewe, sema unajivungisha tu!Yani umeniita sheikh kama mimi kwenye mambo ya kipuuz kama haya π
HeheheKila nyuzi ya mambo haya upogo, unapendaga mwenyewe, sema unajivungisha tu!
Mkuu hawa watu uliokuwa unawapata hatariKuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Sema Suuuuuu πMapenzi yafutwe......
Duh mkuu cha msingi omba tu usikutene nao maishani mwakoMkuu hawa watu uliokuwa unawapata hatari