Dalili zipi uliziona ukajua uhusiano wenu umefikia mwishoni?

Dalili zipi uliziona ukajua uhusiano wenu umefikia mwishoni?

Alianza kuwatukana watoto matusi ya nguoni mbele yangu na maneno ya kashfa hivi plus kunyinwa unyumba nikajua ni Mimi ninaetukanwa!nilimkataza mara nyingi akaendelea!Kumbe alikua na ujenzi wa siri na jamaa yake ndio msimamizi coz nilianza kuona script ziki change yaani namna anavyoishi na mimi ni kama anapata maelekezo toka kulee!nilipogundua ujenzi wa siri aibu ikampata na matusi yakaisha !!kumbe ni hako kanyumba ndio kalimpa kiburi!!!

Sio muumini wa kuachana,Nikampa uhuru aendelee na jamaa yake!Na mimi naendelea na mishe zangu!!
Duuh pole
Sasa nakuelewa replies zako kwenye nyuzi nyingine
 
S

Zaidi ya sana aiseee tumepanga appointment Kani text nampigia hapokei napiga tena simu busy nilikuwa nishajiandaa hapa mevua hizo nguo nimevaa night dress yangu nipo ndani ya durvert naperuzi jf mapenzi ni ushenziiii
Duh, alivyokufanyia siyo poa
Sad Feelings GIF.gif
 
Enewei


Alipata likizo akasafiri kurudi kwao, tukawa tunaongea karibu kila siku, hiyo siku akanambia anaumwa akaenda hosp mi sikumtumia hata mia hali yangu nilikuwa naijua mwenyewe tu ila yeye pesa anayo. Akapona, jmos moja akaniomba vocha nikamtumia ya elfu 2, jtatu nikaongea nae vizuri tu tena nikamwambia akirudi akachukue kitambulisho cha Taifa nimkatie bima ya afya eeeh! Jnne nikapiga simu ikakatwa, nikapiga tena ikakatwa, kidogo ikatumwa text kwangu

Ctak unipigie simu, nitoe kwenye maisha yako, nikafuata maelekezo mpaka leo. Hii ilikuwa wiki ya pili ya mwezi huu.
 
Enewei


Alipata likizo akasafiri kurudi kwao, tukawa tunaongea karibu kila siku, hiyo siku akanambia anaumwa akaenda hosp mi sikumtumia hata mia hali yangu nilikuwa naijua mwenyewe tu ila yeye pesa anayo. Akapona, jmos moja akaniomba vocha nikamtumia ya elfu 2, jtatu nikaongea nae vizuri tu tena nikamwambia akirudi akachukue kitambulisho cha Taifa nimkatie bima ya afya eeeh! Jnne nikapiga simu ikakatwa, nikapiga tena ikakatwa, kidogo ikatumwa text kwangu

Ctak unipigie simu, nitoe kwenye maisha yako, nikafuata maelekezo mpaka leo. Hii ilikuwa wiki ya pili ya mwezi huu.
Pole
 
Sasa huyo wa laki, si ungempa tu jamani.
Na hata aliyetaka kukuzalia naye ukamkacha, daa we kijana.

Wangu wa kwanza alikua king'ang'anizi sana, mimi nilikua msichana wake wa kwanza na yeye alikua wangu wa kwanza. Alitaka kunioa na miaka 20 na mimi nilitaka kuiona dunia zaidi, so nikamuacha.
Ko sasa hivi umekuwa mshangazi wa people for the people by the people hadi vipofu wanajipigia au uliamua kujiheshimu ukajenga familia?
 
Niko kwenye hiyo situation sahv ...hajali tena kama mwanzo .... anajidai kunijibu short... sometimes unamuuliza kitu anakuja blue tick nilijaribu kumuuliza ubishi mwing sasa na mm ni mzito sana kugombana na mwanaume....lakini kuhudumiwa Bado anafanya kwa u Bora ule ule sema tuu mawasiliano yamepungua anajua Kila baada ya wiki kusuka anajua pesa anatumaga tuu wakat wowote na hataki umpe shukran so kwasababu tuko mbali I guess tayar ashachukuliwa Soo Cha kufanya nime fasten my seatbelt kikinuka tuu I will be safe guys
 
Back
Top Bottom