Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #81
Funzo; mwanamke haulizwagi umri hadharani.Una miaka mingapi
Ila we kama umezaliwa 2003, umepishana miaka 3 na mwanangu wa kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funzo; mwanamke haulizwagi umri hadharani.Una miaka mingapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄 Mapenzi ya kibongo hayo, ni kukaa kwa streak tu. Ukijifanya Dr.Love unapotea. Mapenzi ya love & basketball hayafai kwa kizazi cha sasa.Tuliambiana goodnite kuwa wote tunalala.
Nikaamua kwenda club.
Kufika namuona mwenzangu anabambiwa kama ana akili mbovu. Kumpigia simu hapokei, nilipotuma msg akanambia hawezi pokea kalala na mama.
Nikaenda alipo nikampa 5 halafu na mimi nikatafuta wa kubambia, maisha yakaendelea.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Funzo; mwanamke haulizwagi umri hadharani.
Ila we kama umezaliwa 2003, umepishana miaka 3 na mwanangu wa kwanza.
Why??????????????????????Funzo; mwanamke haulizwagi umri hadharani.
Poof akatoweka 🤣, ila “Shetani” 😂Mara ya mwisho alinambia, "Yaani mimi nikiwaga na hasira sioendagi kuona watu mbele yangu"...
Akatoweka mbele ya upeo wa macho yangu. Hakurejea. Hajarejea. Sidhani kama atarejea.
Yaan hata 100Utavuta vingapi?!
😂
Hvyo hvyo nikioa watatu wana mambo hayo hayo naacha sioi tena nitakuwa napiga mechi za ugeniniSawa Pro 😅 ila ukioa itakuwaje sasa?
HongeraYaan hata 100
AsanteHongera
this was epic😂😂Tuliambiana goodnite kuwa wote tunalala.
Nikaamua kwenda club.
Kufika namuona mwenzangu anabambiwa kama ana akili mbovu. Kumpigia simu hapokei, nilipotuma msg akanambia hawezi pokea kalala na mama.
Nikaenda alipo nikampa 5 halafu na mimi nikatafuta wa kubambia, maisha yakaendelea.
Una maana gani sweetheart
Naelewa hata... Mwenzio kiswahili nilifeligiiiiUna maana gani sweetheart
Duuh kweli akufukuzaye hakwambii toka.MI alinambia mama ake hapendi wnawake wa kabila langu...Nikajiongeza