Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #101
Duuh poleAlianza kuwatukana watoto matusi ya nguoni mbele yangu na maneno ya kashfa hivi plus kunyinwa unyumba nikajua ni Mimi ninaetukanwa!nilimkataza mara nyingi akaendelea!Kumbe alikua na ujenzi wa siri na jamaa yake ndio msimamizi coz nilianza kuona script ziki change yaani namna anavyoishi na mimi ni kama anapata maelekezo toka kulee!nilipogundua ujenzi wa siri aibu ikampata na matusi yakaisha !!kumbe ni hako kanyumba ndio kalimpa kiburi!!!
Sio muumini wa kuachana,Nikampa uhuru aendelee na jamaa yake!Na mimi naendelea na mishe zangu!!
yaanDuuh kweli akufukuzaye hakwambii toka.
Kwahiyo tusiumwe jamani🤣🤣🤣Ukishaanza kuagwa saa 2 usiku😂 ,eti nimechoka naomba nilale tu kichwa kinauma....😎 Hapo we piga kale kamluzi tu ka "fwiiiiiuuu"
Jambazi mstaafu unataka kusemaje kwani😀Kwahiyo tusiumwe jamani🤣🤣🤣
Yaani hata kuumwa hatutakiwi kweli!!!🤣🤣Jambazi mstaafu unataka kusemaje kwani😀
Duuh alibadili gia anganiAlipoanza kuniambia tu nataka assuarance ya mahusiano, na tulikubaliana hakuna kuwa serious
Zaidi ya sana aiseee tumepanga appointment Kani text nampigia hapokei napiga tena simu busy nilikuwa nishajiandaa hapa mevua hizo nguo nimevaa night dress yangu nipo ndani ya durvert naperuzi jf mapenzi ni ushenziiiiMapenzi yanawatesa sana wakuu
Ukituma msg hajibu mpaka umtafute niliteseka miaka ile 2016 lkn siku hizi nimekua konki master mtoto wa mtu akizingua navuta chuma kipya
Zile za "akufukuzaye hakwambii toka" we jiongeze tu!Ukiona kimya kingi jua tayari.
Duh, alivyokufanyia siyo poaS
Zaidi ya sana aiseee tumepanga appointment Kani text nampigia hapokei napiga tena simu busy nilikuwa nishajiandaa hapa mevua hizo nguo nimevaa night dress yangu nipo ndani ya durvert naperuzi jf mapenzi ni ushenziiii
Hapo sasaDuuh alibadili gia angani
Duh, alivyokufanyia siyo poa
View attachment 3249068
Acha tu😒Duh, alivyokufanyia siyo poa
View attachment 3249068
PoleEnewei
Alipata likizo akasafiri kurudi kwao, tukawa tunaongea karibu kila siku, hiyo siku akanambia anaumwa akaenda hosp mi sikumtumia hata mia hali yangu nilikuwa naijua mwenyewe tu ila yeye pesa anayo. Akapona, jmos moja akaniomba vocha nikamtumia ya elfu 2, jtatu nikaongea nae vizuri tu tena nikamwambia akirudi akachukue kitambulisho cha Taifa nimkatie bima ya afya eeeh! Jnne nikapiga simu ikakatwa, nikapiga tena ikakatwa, kidogo ikatumwa text kwangu
Ctak unipigie simu, nitoe kwenye maisha yako, nikafuata maelekezo mpaka leo. Hii ilikuwa wiki ya pili ya mwezi huu.
Ko sasa hivi umekuwa mshangazi wa people for the people by the people hadi vipofu wanajipigia au uliamua kujiheshimu ukajenga familia?Sasa huyo wa laki, si ungempa tu jamani.
Na hata aliyetaka kukuzalia naye ukamkacha, daa we kijana.
Wangu wa kwanza alikua king'ang'anizi sana, mimi nilikua msichana wake wa kwanza na yeye alikua wangu wa kwanza. Alitaka kunioa na miaka 20 na mimi nilitaka kuiona dunia zaidi, so nikamuacha.