kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Anapokuwa nawe simu muda wote ipo mkononi yani yupo karibu na simu a ajibu sms anapokea simu ila mkiwa mbali mbali mawasiliano nae yanakuwa ya kuungaunga. Mara simu ilikuwa mbali au hakusikia.
Muda mwingi mwingi simu yake haina sauti na inakaa mkao wa face down😀
Muda mwingi mwingi simu yake haina sauti na inakaa mkao wa face down😀