BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hawa Miamba sijapata kufahamu historia zao ila inshort nikuwa walikuwa wanajihusisha na mziki labda walikuwa maproducer, wanamuziki au hata mameneja wameacha legacy nyimbo ya zamani bila kusikia majina haya hiyo sio hitsong. Credit zifike kwao.