Sema huyu jamaa Ndumbalo aliharibu siku anamuidhinisha okwi kukipiga msimbazi,,, safi sana tff watu kama hawa wafai kushiriki katika soka manake wanapindisha sheria...
Je, Huwa anauza hiyo sura yake kwa sh. ngapi ngapi hapo kwenye kidewa "TV" mkuu KakaJambazi
Mtoto wa darasa la kwanza leo akimaliza elimu ya msingi na huyo wakili ndo atarud tena sokani
sasa kama vilabu vimemkana, inamaanisha vimekubali kukatwa 5%??
Aliongea kwa 'utashi' wake!!! ina maana hakutumwa na vilabu kuongea yale aliyoyaongea???? mmmmmmmmh! mbona hii haiji kiakil au kuna mchezo umechezwa hapa!!! soka la bongo lina mizengwe, Ngoja tutamsikia Ndumbalo atasemaje....
Lini ndumbalo alimuidhinisha okwi kucheza simba..haya mambo ya simba na yanga yanavuruga sana utaratibu,sasa mtu kma ww angalau unaelewa baadhi ya vitu una mawazo kma haya je uko vijijini kukoje...?Pumbuvu huyu NDUMBALO nilianza kumchukia tangu siku anamuidhinisha emanuel okwi kuwa mchezaji halali wa simba kutoja dar young africans,,,naona hata kile kifungo alichofungiwa ni kifupi mno angepigwa ban ya maisha bila kujihusisha na masuala ya soka. Na huyu kanjibai DEWJI mbona anatuharibia mpira wetu jamani!!!!?
Wewe unauliza lini NDUMBALO alimuidhinisha okwi kucheza simba kutoka yanga!!!!!!!!!! Nadhani wewe sio mfuatiliaji wa mambo ya mpira hasa Bongo league.Lini ndumbalo alimuidhinisha okwi kucheza simba..haya mambo ya simba na yanga yanavuruga sana utaratibu,sasa mtu kma ww angalau unaelewa baadhi ya vitu una mawazo kma haya je uko vijijini kukoje...?