MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,093
- 7,229
- Thread starter
- #81
Sema huyu jamaa Ndumbalo aliharibu siku anamuidhinisha okwi kukipiga msimbazi,,, safi sana tff watu kama hawa wafai kushiriki katika soka manake wanapindisha sheria...
Na ndio maana wazee wa jiji wakawa wanaamuangalia tu Damas ndumbalo mbio zake kuona zitapoishia....sasa wamemdaka ukingoni hana ujanja...cheze system ya soka wewe?
Last edited by a moderator: