Damascus: Shambulizi la anga la Israel lasababisha tetemeko la aridhi nchini Syria

Damascus: Shambulizi la anga la Israel lasababisha tetemeko la aridhi nchini Syria

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Leo,Israel imefanya shambulizi la anga kwenye kambi ya jeshi la Urusi katika mji wa TARTUS imesababisha mtikisiko mkubwa wa Ardhi ambao umesikika umbali wa Kilometa 800.

Wataalamu wa kijeshi wanasema,huenda mlipuko huo umesababishwa na Vilipuzi vilivyokuwa vimehifadhiwa mahali hapo.

Jeshi la anga la Israel limeendelea na kampeni ya kuziangamiza Silaha zote zilizokuwa zikimilikiwa na utawala ulioangushwa Desemba 8 wa Bashar Al Assad.

Wakati huo huo,Baraza la mawaziri la Israel limepitisha uamuzi wa kuongeza idadi ya Walowezi mara mbili kwenye milima ya Golan ambayo ilitekwa hivi majuzi kutoka Syria.

Raia wengi wa jamii ya DRUZE iliiomba Israel kulikalia eneo lao na kuwa sehemu ya Israel kwa hofu ya kushambuliwa na watawala wapya wa Kiislam walioipindua Serikali ya ASSAD.


View: https://youtu.be/mDUnk2r8kY4?si=elUKQZiC8YQOUPgm
 
Anacho fanya Israel kwa hizi nchi si ni sawa na Vita lakini mbona amna face to face war ..
 
Leo,Israel imefanya shambulizi la anga kwenye kambi ya jeshi la Urusi katika mji wa TARTUS imesababisha mtikisiko mkubwa wa Ardhi ambao umesikika umbali wa Kilometa 800.

Wataalamu wa kijeshi wanasema,huenda mlipuko huo umesababishwa na Vilipuzi vilivyokuwa vimehifadhiwa mahali hapo.

Jeshi la anga la Israel limeendelea na kampeni ya kuziangamiza Silaha zote zilizokuwa zikimilikiwa na utawala ulioangushwa Desemba 8 wa Bashar Al Assad.

Wakati huo huo,Baraza la mawaziri la Israel limepitisha uamuzi wa kuongeza idadi ya Walowezi mara mbili kwenye milima ya Golan ambayo ilitekwa hivi majuzi kutoka Syria.

Raia wengi wa jamii ya DRUZE iliiomba Israel kulikalia eneo lao na kuwa sehemu ya Israel kwa hofu ya kushambuliwa na watawala wapya wa Kiislam walioipindua Serikali ya ASSAD.


View: https://youtu.be/mDUnk2r8kY4?si=elUKQZiC8YQOUPgm

russia atajibu tuu
 
Leo,Israel imefanya shambulizi la anga kwenye kambi ya jeshi la Urusi katika mji wa TARTUS imesababisha mtikisiko mkubwa wa Ardhi ambao umesikika umbali wa Kilometa 800.

Wataalamu wa kijeshi wanasema,huenda mlipuko huo umesababishwa na Vilipuzi vilivyokuwa vimehifadhiwa mahali hapo.

Jeshi la anga la Israel limeendelea na kampeni ya kuziangamiza Silaha zote zilizokuwa zikimilikiwa na utawala ulioangushwa Desemba 8 wa Bashar Al Assad.

Wakati huo huo,Baraza la mawaziri la Israel limepitisha uamuzi wa kuongeza idadi ya Walowezi mara mbili kwenye milima ya Golan ambayo ilitekwa hivi majuzi kutoka Syria.

Raia wengi wa jamii ya DRUZE iliiomba Israel kulikalia eneo lao na kuwa sehemu ya Israel kwa hofu ya kushambuliwa na watawala wapya wa Kiislam walioipindua Serikali ya ASSAD.


View: https://youtu.be/mDUnk2r8kY4?si=elUKQZiC8YQOUPgm

Hatari sana, Israel wanataka kuwa Waarabu wote
 
Kama kweli huenda Israel analipa kisasi kwa Urusi baada ya waasi wa Houthis wa Yemen kuishambulia Israel mji wa Tel Aviv kwa Hypersonic missile.
Kwa hisia zangu Hawa Houth walipata silaha au teknolojia toka kwa Urusi.
 
Back
Top Bottom