mijitu mipumbavu sijawai ona chuki zao azina yakin wanapanda gari yoyote ata kama inaenda machinjioni wao wamo tu makanisa yatavunjwa wao wamo tu. ISRAEL sijui kawapa nnHao waasi watakapo anza kuwashughulikia wagaratia wenzenu tusije kusikia kelele maana sasa hivi mpo mnawashangilia na Asad anaye walinda hamumtaki.
Mitambo imelipuliwa yote mpaka ijengwe mipya itawacost mwakaKwa hiyo hilo ndo linalo kudhibitishia kuwa Iran hana uwezo wa kurusha makombora?
Kwani shambulizi la October 1 lilidanyika baada ya muda gani?
Huu uwongo ulipokea kutoka kijiwe cha mchungaji gani!!!Mitambo imelipuliwa yote mpaka ijengwe mipya itawacost mwaka
Iran hawezi kabisa kujibu.Usipate taabu op. 3 inakuja general wa Iran kahakikishia waandishi juzi walimuuliza, May be anasuburi silaha za trump ndio aziangamize huwezi jua kwenye hili tumwachie Ayatollah mwenyewe ndio anajua nini kitafaa Kwa muda Gani. Israeli ni wajinga wanahisi wao watakaa Kwa utulivu Kwa haya wanayoyafanya Lebanon siku wakipata AD systems Ngoma itakua tamu Sana ya hizbollah
Kifaa muhimu na cha gharama kubwa cha kutengeneza missiles kutoka Urusi kiliteketezwa.Mitambo imelipuliwa yote mpaka ijengwe mipya itawacost mwaka
Warusi hawanaga Ndege nzuri za Close Ground Support kama USs A10 "Warthog" ile Ndege ni kiboko.Hao waasi wanashambuliwa hawafii tu
Hiyo nakupa liveYa kweli hayo mkuu au unachangamsha genge?
Sileti propaganda ila waasi wamepigwa ambush Moja ya hatari wamepoteana homs hawawezi kuchukua daraja muhimu la kuunganisha huo mji limepigwa bomu na urusi Jana usiku.Sometimes tunahitaji kuwaona wadau, you are very dillussional sana... Waasi now wanaenda Kuchukua Mji wa Homs wewe unaleta propaganda
Duuh anachechemea, Iran hajawahi kuahidi asijibu watachelewa ila lazima watajibu Hilo sina shaka naloIran hawezi kabisa kujibu.
Yeyote mwenye akili timamu anajua.
Watu wameingia hadi chumbani kwako bila kizuizi chochote, wakakupiga wakavunja mguu wakaamua kukusamehe na kuondoka, utawafuata kwao?
Halafu ukamsikia baba yao nae anakuambia uache ujinga wa kurusha rusha vikombora nyumbani kwa mwanae, utaendelea kurusha?
Mifumo ya ulinzi ya waajemi iliharibiwa, vifaa vya kutengeneza makombora viliangamizwa, sehemu ya siri ya kurutubisha nyuklia kwny mji wa Parchin iliteketezwa!
Iran ni kama vile alivunjwa miguu, sasa anachechemea.
Yaani mchezo uishe ndani ya wiki mbili? Sio mara ya kwanza kuvunja hapo boda na silaha zinapitishwaga hivyo hivyo hzb tayari wako Syria now. Israel Kwa alichokifanya asahau kuishi Kwa utulivuBreaking; Ndege za Israel zimelipua Daraja la Mpakani linalounganisha Syria na Lebanon na kuikata rasmi Corridor ya kupitishia Silaha za Ayatolah.π
Source:Aljazeera
Mchezo unakaribia kwisha.π
Mapigano makali yanaendelea kwenye Viunga vya Mji wa Homs Waasi wa Kisunni wa THS wameteka Askari wengi wa Serikali na Wanamgambo wa Kishia walioingia Syria kutoke Iraq.Sometimes tunahitaji kuwaona wadau, you are very dillussional sana... Waasi now wanaenda Kuchukua Mji wa Homs wewe unaleta propaganda
Ni kosa kubwa sana limefanywa na Hamas kwa msaada wa Ayatolah siku ya October 07 na October 08 Hezbola.Yaani mchezo uishe ndani ya wiki mbili? Sio mara ya kwanza kuvunja hapo boda na silaha zinapitishwaga hivyo hivyo hzb tayari wako Syria now. Israel Kwa alichokifanya asahau kuishi Kwa utulivu
Vita ya Syria ilikua ni time ticking Bom kufa Kwa Nassrah sio sababu vita hio ni kwasababu Israel kashtuka ubora wa hzb hivyo anahaha kuzuia logistics za silaha kwenda Lebanon, kifo ni pigo ndio wamepoteza kiongozi makini, lakin wamejioganize Kwa uharaka ambao Hata mazayuni hawakutegemea loss waliyopata khiam na golan ndio iliwaleta kwenye ceasefire pia mashambulizi ndani ya tel aviv
View: https://x.com/clashreport/status/1864974628789133701?t=fJ3cHYa3plcyNmwJhqwyOg&s=19
Bado kuna Kobazi humu ndani atasema kifo Cha Nashrallah hakikuwa pigo kwa Hezbollah na Iran.
Kuna yule Jamaa mmoja aliuzaga kama Ni kweli Israel ilishinda nchi za Kiarabu kwa Siku 6.
Tangu Israel imuue Nashrallah ni takribani miezi 2 tu, ila kifo chake kimepelekea Vita ya Syria ilikaa Miaka zaidi ya 10, ila impact ya Israel Lebanon imebadili muelekea wa vita kwa wiki mmoja.
Miaka 10 yote ya vita Syria hawajawahi hata siku Moja Kurusha Jiwe Israel
Ayatollah ni father wa revolutions hivyo anajua Israel akikaa Kwa amani Iran itasumbuliwa TU hivyo ni kumkeep accupied that's why Yemen na Palestine zinatakiwa kuwa strongNi kosa kubwa sana limefanywa na Hamas kwa msaada wa Ayatolah siku ya October 07 na October 08 Hezbola.