Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

IQ ya Wazuyuni ni level ya kunyweya Whisky, au labda IQ ya kumtundika Yesu msalabani hahaha, unawaongelea watu wenye kutingisha vichwa vyao kwenye ukuta kama mijusi na watu wanao tegemea kila kitu kutoka USA 😆 😂
Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnaleta mihemuko.
 
Hata Urusi na Iran wakiamtelekeza hawana cha kulaumiwa kwakweli.
 
Sawa hawa ndio watakao rudisha Gollan time will tell, Israel watamkubuka Assad
Golan ilitekwa kwenye Vita kama ilivyotekwa Sinai itarudishwa kwa mazungumzo kama ilivyorejeshwa Sinai lakini kwa nguvu sahau ustazi.
 
View attachment 3171548
Gaidi Mstaafu anaenda kuwa Raisi wa Syria May Allah grant him Jannah...
Unajua nini Sheikh Imhotep!

Russia should just leave
Syrian army isn’t ready to fight
It’s not the fault of Putin.

Unajua nini, kimasihara huyu gaidi atakuwa rais. Ila wamagharibi wahuni sana, mara ya kwanza walimtangaza kama gaidi, kwa sasa hivi ni freedom fighter!

Ndiyo muelewe sasa hawa magaidi ni project ya US na Israel.
 
Kasema ameachana na Ugaidi na ametubu kwa Allah na Serikali yake itakuwa ni Inclusive Madhehebu yote ya Kiislamu Madhehebu yote ya Kikristo na Wayahudi wa Syria pia watahusishwa kwenye Serikali yake mpya.
 
Zole Albadiri zenu mlizokuwa mkiisomea Israel zimefikia wapi shehe?!
Nani aliye soma Albadri? Hivi we unadhani Albadri inasomwa hovyo hovyo. Sijawahi kusikia Albadri inasomwa vitani kweli Shetanyahu kawapoteza sana wamwmtundika Yesu msalabani afu mnawasifia eti wana IQ.

Hivi we umewacha kutumia dozi za mirembe siku hizi, wahi wasije kukurudisha kwenye kitanda chako. Hivi kilikuwa number ngapi vile?
 
Nani aliye soma Albadri? Hivi we unadhani Albadri inasomwa hovyo hovyo. Sijawahi kusikia Albadri inasomwa vitani kweli Shetanyahu kawapoteza sana wamwmtundika Yesu msalabani afu mnawasifia eti wana IQ.
Kwenye huu mgogoro mumeaibika sana Dunia nzima imeona LIVE mnavyotandikwa na kukorogwa huku Allah akiwa amewatosa.
 
Bora umeanza kuukubali uhalisia shekhe Wangu🤩😍
 
Wameshafika viunga vya mji wa Damascus tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…