Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

wejamaaa unaongoza kwa uwongo kwenye UZI uwe na naibu kidogo.
Source:ARAB

Israel bombs Lebanon-Syria border crossings days after they reopen​

Repeated strikes on border crossings between Lebanon and Syria are believed to be part of Israel's strategy of cutting off Hezbollah's supply routes
MENA
2 min read
The New Arab Staff
06 December, 2024
ShareFlipboardRedditWhatsAppXFacebook
People inspect the destroyed bridge on the Lebanese side of the Al-Arida border crossing with Syria on November 27, 2024. (Photo by IBRAHIM CHALHOUB/AFP via Getty Images)
The Arida crossing was first struck hours before the ceasefire came into effect on 27 November [Ibrahim Chalhoub/AFP/Getty]
 
Hata mi naona kinachotokea ndio yale yale ya Assad na urusi kutumia
Gas na kuanzisha kuvurumIsha mabom had mji uwe flat

Maana. Jeshi la Serikali Linaachia maeno Kirahs wanarudi nyuma bila
Kutoa upinzani ni kama wameambiwa ondoken tusafishe
Itakuwa mfano kwa magaidi wengine!

Wao si wapo wengi, acha waingie ndani zaidi halafu kazi ianze!
 
BREAKING NEWS

Waasi wa HTS wamekaribia kuuteka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS. Waasi wapo umbali wa Kilometa 5 kutokea katikati mwa mji huo.

Wapiganaji wa Kishia kutoka Iraq na Lebanon wakishirikiana na Wanajeshi wa Syria wamefanikiwa kwa kiasi kuwazuia waasi hao kuuteka mji wa HOMS. Hata hivyo, Mashambulizi ya Anga Makali ya Marekani na Israel dhidi ya Wapiganaji wa Kishia na ngome zao inadhoofisha uwezo wa jeshi la Syria na Washirika wao kupambana na Waasi.
Ndege 3 za Urusi aina ya Mig zimerushiwa Risasi za Onyo na Majeshi ya Uturuki. Urusi imelaani tukio hilo.

Waasi wa HTS wamefanikiwa kuiteka kambi ya jeshi la Syria ya Al-Fahdi iliyokuwa Kilometa 16 kutoka mji wa HOMS. Ndege 2 aina ya Mig zimetekwa na waasi hao zikiwa zimeharibiwa na kutokuweza kutumika.

View: https://youtu.be/BlKGcYu2Oec?si=hAc4JDOE5bCZm4OZ

Uturuki ni kama Mwingereza, bado wana hangover ya tawala zao!

Ila ni mwepesi sana kwa Russia, alileta ujinga wake mwanzoni hivyo hivyo kwa Mrusi, Mrusi akawauwa wanajeshi wa Uturuki wengi sana huko Syria.
 
Jambo la Ajabu ni kwamba Wasunni wa Tanzania wanawayashabikia Mashia ya huko Ughaibuni sjui wamechanganyikiwa?!

Ni FaizaFoxy tu ndio yuko na Wasunni 😂🤣

Jana pia nimewaona Masunni wa kwenye Kahawa povu linawatoka kwa kuwashabikia Mashia.

Halafu Waasi wa Kisunni wakichukua Nchi utaona na wao wakijipendekeza😂😆
 
See....sheikh wangu ilimu ni muhimu. Zote Duniya na akhera. Ungepata hizo ungegundua hii si lugha mujarab kwa jamii iliyostaarabika. Huwa kamwe hatuongei hivi
Una ushamba mwingi sana mwanaume kamili hayuko hivyo.

Sijakuomba uwe mwalimu wangu wa lugha punguza ushamba basi.
 
Tupatie huo ushahidi!
Wahhabism is a conservative branch of Sunni Islam that originated in the 18th century and is practiced mainly in Saudi Arabia and Qatar:


  • Origins
    Wahhabism originated in the Hanbali school of Sunni Islam and was named after Muhammad ibn 'Abd al-Wahhab, a scholar from that time.
 
Back
Top Bottom