Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Habari za hivi punde zinadai,Wapiganaji wa HTS ambao wanasadikika kuungwa mkono na nchi ya Uturuki, wameuzingira mji wa nne kwa ukubwa nchini Syria wa HAMA kusini Magharibi mwa nchi hiyo. Mji huo upo umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa Damascus.

Ikumbukwe kuwa, Wiki iliyopita, Waasi hao walifanya mashambulizi ya kushitukiza na kuuteka mji wa pili kwa ukubwa nchini Syria wa Aleppo.

Jeshi la anga la Syria (SAA) likisaidiwa na ndege za kivita za Urusi zilishambulia mji wa IDLIB ambao ulikuwa ngome kuu ya wapiganaji hao tangu mwaka 2015. Hata hivyo, Mashambulizi hayo yanaonesha kutowarudisha nyuma waasi hao.

Endapo mji wa HAMA utadhibitiwa na waasi hao,Basi watakuwa umbali wa Kilometa 78 kutoka mji wa tatu kwa ukubwa nchini Syria wa HOMS na umbali wa Kilometa 210 kutoka mji mkuu wa Syria wa DAMASCUS.

Hata hivyo,Waziri wa Mambo ya nje wa Iran ameilaani Marekani na Israel kwa kushambulia msafara wa Wapiganaji kutoka Iraq waliokuwa wanakwenda kuisaidia jeshi la Syria kupigana vita vya Ardhini na waasi hao.

Uturuki imeitaarifu Urusi kuacha kutumia ndege zake kuwashambulia Raia lasivyo Uturuki itapeleka Mifumo ya Ulinzi wa Anga Kasikazini mwa Syria ili Kuziangusha ndege za Urusi na Syria ambazo zinafanya mashambulizi hayo.

Source: Aljazeera
: Dw English
Nadhani bashar el assad muda wake umeisha
 
Haya mambo ni makubwa hutoyaelewa, utaishia ku Google Google na kuleta ubishi kwa mambo ambayo hauna uelewa nayo!

Sunni itikadi yao Mungu hayupo mbinguni, bali mamlaka yake kayaweka mbinguni na hakuna kilichomfunga. Yaani kaepukana na mambo 6. Mungu hayupo juu(1) ya, au chini(2) ya, au kuliani (3) mwa, au kushoto(4) mwa, au mbele (5) ya, au nyuma (6) ya!

Wahabi itikadi yao Mungu yupo juu mbinguni!

Wahabi itikadi yao Mungu ana mkono, mguu n.k

Sunni itikadi yao Mungu hamithiliki na chochote kwa maana chochote hakifanani na Mungu na kaepukana na (jism) yaani sifa ya kuwa na mkono au mguu!

Sunni itikadi yao Mtume bado yu hai mpaka kaburini kwake pamoja na mitume mengine.

Wahabi itikadi yao Mtume ameshakufa! Yaani kama mpeleka barua, kapeleka barua na kazi yake imeshakwisha.

------------------
Mpaka hapo wanafanana?
Nimepata kitu kipya hapa. Ngoja niendelee kujifunza.
 
Kweli kanisani mnasomeshwa mpaa kuosha wanawake uchi


View: https://youtu.be/GMPp3gCaTww?si=neo-m8K_wApKrMVY

Dini yenu niyakishetani noma sana, lazima mtachukia madrasa hahaha

Apo utasikia Netanyahu asifiweeee na makofi vigelegele!!
!!!! watu mapumbavu kwakwali afu utaona kama ivi kuoga kuwanyoa mavuzzzz adi kuwakojoza mbele za watu kinachoshangaza zaid nikuwa ni Wadada tu ndio wanakuwa mfano sio wanaume Wadada wanapitia mengi sana ktk maisha yao sasa seen kama iyo unapaitaje zaid Kijiwe cha Uzinzi mtoto wakike anaogeswaje au kupakwa mafuta na mwanaume seem kama iyo ndio utasikia sana Asifiwe Asifiwe lkn tuwape uhuru wao Iman zetu ndio zinataka tuwe wapole tuonapo mambo kama aya.
 
BREAKING NEWS

Waasi wa HTS wameudhibiti mji wa DEIR ez-ZOR Nchini Syria. Mji huo ndio unabarabara kuu inayotoka mji wa Bandari wa LAITIKIA Kuelekea Miji ya HOMS na DAMASCUS nchini Syria.

Wakati huo huo,Wizara ya mambo ya nje ya Urusi imewataka raia wake kuondoka nchini Syria kuelekea Uturuki. Wanadiplomasia wa Urusi na Iran wameamriwa kuondoka na nchi zao.
Urusi imeiomba Uturuki kuikubalia kupitisha Meli zake kupitia Mlango wa BOSPHORUS GAP ili Kuziondoa kwenye bandari ya LAITIKIA iliyoko bahari ya Mediterranea kabla haijazingirwa na Waasi hao. Uturuki bado haijatoa majibu.

Wakati huo huo,jeshi la Israel limepeleka vifaru na Askari wa miguu kwenye milima ya Golan ili kuhakikisha Ulinzi wa Ardhi yake hautishiwi na kinachoendelea nchini Syria. Ndege za kivita za Israel zimeanza mashambulizi mjini Damascus kuzilenga ngome za kijeshi za Serikali ya Syria na wanamgambo wa Kishia.
 
— ❗️🇸🇾/🇮🇷 NEW: The Syrian government has reportedly rejected an Iranian offer to send two brigades of regular troops into Syria, out of fear that it would 'tarnish Assad's domestic support' and that it would 'provoke Israel to enter Syria' – Source

@Middle_East_Spectator
 
Waislam mnapenda/mnafundishwa kuwa Delusional sana.

Ni jambo halitaki ujuzi mkubwa kutambua, Jeshi la Assad linacollapse kuliko walivotarajia, Hezbollah viongozi na makamanda wake wengi wamekufa au ni vilema na Bado wako standby Lebanon kuona kama Israeli itaenda ndani zaidi ya Lebanon, pia Israel ilishambulia Hadi benki za Hezbollah, na vyanzo vingine vya mapato hivyo Iran na Assad wameumiziawa mashirika wao mkubwa sana.

Assad, Iran na Urusi hawawezi Kuisaidia Assad kwa muda mfupi zaidi ya kutafuta uwezekank wa Kuigawa Syria kwenye vitaifa vidogo vinavyowaunga mkono.

Hapo Syria kwa sehemu kubwa ni vita ya Kidini Kati ya Waislam na Waislam hawagombei Democracy au Uchumi now Wanapigana kulipa Kisasi na kueneza Ushia na Sunni.

Hata kama hawasemi popote pande zinazopigana Zinatamani Israel iwe upando wao, Kwa Assad/Iran/Hezbollah wanatamani msaada wa Israel kuzuia advances za Waasi na wao wawe kama buffer state Kati ya Israel na hao Wasunni ambao wametokana na ISIS.

Same Wasunni wanatamani Israel iendelee kuishambulia Syria na Hezbollah wao waziri kusonga mbele.

Hapa itakavokuwa kuna Chance kubwa Israel kuingia Syria upande wa Golan, na Hata kuzungumza na Waarabu wa Druze waunde Nchi Kati ya Israel na Damascus
Kuna ukweli mwingi umeongea ila umeandika pumba uislam hapa umeingiaje
 
Iran hawezi kabisa kujibu.

Yeyote mwenye akili timamu anajua.

Watu wameingia hadi chumbani kwako bila kizuizi chochote, wakakupiga wakavunja mguu wakaamua kukusamehe na kuondoka, utawafuata kwao?

Halafu ukamsikia baba yao nae anakuambia uache ujinga wa kurusha rusha vikombora nyumbani kwa mwanae, utaendelea kurusha?

Mifumo ya ulinzi ya waajemi iliharibiwa, vifaa vya kutengeneza makombora viliangamizwa, sehemu ya siri ya kurutubisha nyuklia kwny mji wa Parchin iliteketezwa!

Iran ni kama vile alivunjwa miguu, sasa anachechemea.
Ila leo hii muda huu nnapoandika hii txt kuna breaking news grossi analalama kwamba Iran wamerutubisha urani kwa 60 ambayo inaweza unda nyuklia sasa mbona mnatuchanganya
 
Back
Top Bottom