stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
🤣 🤣 🤣Babake Israel ndio level za Iran uyo Israel chawa tu hzb mkatoa kamasi alikua anaungulia kwenye tenki
Haya bhana... Hezbollah akamsaidie Assad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Babake Israel ndio level za Iran uyo Israel chawa tu hzb mkatoa kamasi alikua anaungulia kwenye tenki
Bado
Damascus ni kubwa ni sawasawa na Dar sasa Viunga vya Dar pia ni Dar.Bado
Si Assad wala familia yake walioondoka Damascus bado wapoWakurdi wamekubali kufanya kazi na Serikali ya Waasi wa Kisunni HTS kwahiyo kutakuwa na Serikali ya Mseto katika Serikali Mpya ya Syria baada ya Assad
Mpaka sasa hivi ni Story tu Waasi wameshapenya na wameingia Damascus Countryside.Russia, Iran, Turkey agree to halt military operations, we will take steps on the ground
Umeamua kuunga trela sasaTetesi:
BIG: Syrian opposition fighters reach Darayya, just 5km from central Damascus and 6.5km from Assad’s palace
Clash Report on X
Rumours zinasema amekimbilia Moscow.Si Assad wala familia yake walioondoka Damascus bado wapo
Tuko naye pamoja kwenye msafara wetu wa Mamba, Kenge pia wamo.Umeamua kuunga trela sasa
🔥🔥🔥🔥
Nafuatilia kwa ukaribu sana hizi newz haimanishi ndio nimeunga trela siungi mkono waasi kwakua wao wameungana na Western na West hawanaga ubia na waislam wao ni kuharibu hivyo Syria inaenda kuwa zaidi LibyaUmeamua kuunga trela sasa
🔥🔥🔥🔥
Parchin ilikuwa ni sehemu ya siri. Waebrania wakaenda kuitwanga. Wanakoendelea ni huko kwingine.Ila leo hii muda huu nnapoandika hii txt kuna breaking news grossi analalama kwamba Iran wamerutubisha urani kwa 60 ambayo inaweza unda nyuklia sasa mbona mnatuchanganya
Wewe acha ndugu yangu. Kuna watu wanazijua mbinu za vita humu hatari, tena hata kuwazidi Russia wenyewe.Si nasikia wajuzi wa mambo wanasema waasi wanachwa wafike Syria kisha urusi apige come back ya hatari sana
Ila nyinyi warokole huwa mna matatizo yaani waasi wafadhiliwe na Uturuki sifa apewe Israel?Mjadili wa nani Mbabe middle east Kati ya Israel na Iran Bado uko?
Huo ni uongo.Wakurdi wamekubali kufanya kazi na Serikali ya Waasi wa Kisunni HTS kwahiyo kutakuwa na Serikali ya Mseto katika Serikali Mpya ya Syria baada ya Assad
🙂