Wakuu mimi naomba niongelee bifu alilonalo JAYZ juu ya DAME Dash uliyotokana na uanachama wao wa Illuminat.Dame Dash jamaa anajiona sana pamoja na kwamba alimuuzia Jayz Rocawear for $30million na baadaye Jayz akaja kuuza Rocawear for $204 million,Jay made a lot of $. Tumuongelee Aaliyah:inavyosemekana Jay was in love with Aaliyah na alimpenda kiukweli Ila badaye Dash akaja kumnyanganya Aaliyah,so mapenzi yakawakoleza Jay roho ikamuuma sana.Jay knew dash hakumpenda Aaliyah he only wanted to sacrifice her for fame and money.Huyu Dash alikuwa na mwanamke mwingine anaitwa Rachel,Rachel knew abt Dash sleeping with Aaliya also she knew Aaliyah was going to be sacrificed na mwisho wa siku angebaki na Dash wake.Jay kaweka kisasi hadi Leo na anahangaika kutaka kumtoa kafara mke wa Dash yani Rachel ili amlipizie kisasi Kama Dash alivyomtoa Aaliyah.Siyo tu kumtoa Rachel pia anataka kulala na Rachel na huenda alishalala naye.Inasemekana pia hata kama Jay hasingenyang'anywa Aaliya huenda angemtoa kafara because both Dash and Jay are Illuminat na wakati huo wote wawili walitakiwa kutoa sacrifice.Baada ya Dash kumtoa Aaliyah ndiyo mambo yakamwendea vizuri including owning Rocawear(Becoming CEO) ingawa baadaye alikuja kumuuzia Jay.Angalieni hizi you tube links:
http://youtu.be/OnJ8Pl6ZReA
http://youtu.be/5H86lVVwaOM