Damn! Unaanzaje kumfananisha STAMINA na FA, Mnanioffend Brothers

Damn! Unaanzaje kumfananisha STAMINA na FA, Mnanioffend Brothers

Mleta mada amemaliza form four mwaka jana alikuwa anasoma shule ya boarding toka yupo chekechea ndio amepata nafasi ya kusikiliza nyimbo, so tumsamehe bure!
 
Ukweli ulio wazi ni kwamba .......

Kizazi cha mistari nondo uzao wa Fid Q kikiandika mtari mmoja Mtu kama Mwana FA ili alete maana ile ile anaandika Nyimbo nzima,

Angalia mfano:

"Pole pole... ndio mwendo kila akikumbuka inamuuma, kwanza viliumbwa vidole binadamu ndio akaunda uma" By Fid Q

"Naona mlango wa pepo ila sioni pakutokea, hii pesa imetoka jando inataka kuni babu sea" By Stamina

"Usimpige mkeo mpige shangwe, maana Young killer sio ngazi kwahiyo mwambieni shetani asinipande " By Msodoki BestMan


Huyo mwana FA wenu akitaka kuimba alete maana ya mstari wowote kati ya mistari hiyo basi ataandika nyimbo nzima,


Mfano mdogo, nyimbo nzima ya usije mjini Killer anaweza kuiandika kwa mstari mmoja ukasimama kuliko nyimbo nzima ya mwana FA,

Sasa msiwe mnafloo bila fact write down, mkishupalia mwana FA mkali bila vigezo na sababu mnakuwa na mapenzi tu hamna sababu.

CC: kende youngd diCaprio Honey Faith Viol Farha

Hebu hesabu Punch humu ndani ya wimbo mmoja then urudi kulala;


MWANAFALSAFA

(Verse 1)
ukiwa fukara kamwe huwezi kuwa kiburi
maskini jeuri ni msemo tu
Usiuweke kwenye akili
Mwanaume kuwa tajiri ni kama demu kuwa
mzuri
Demu wako akiwa kwenye kioo we piga simu
utafute deal
Hela hazilali so ukilala wewe tu
Na zina kasi ya kutengenezwa hazikungoji
uamke mkuu
Me na make money mchana na make money
usiku
Iwe kwa tai au kwa jeans me naingiza mkwanja
tu
Naingiza mkwanja na jua na naingiza totoro
Mwenzangu sio unazbagua me sina nazo
mgogoro
Begi mgongoni na ramani kama mzungu
kabla hujafika ulipo nshafaham my next move
Pesa ni rock me ni roho
Wana wa long time ago
Uwezi kutuachanisha
Waliodei wote wanafall
Mikuki imepotea farasi wanarudi wenyewe....
Wale waliopanda wakati wa kwenda wanaomba
wafufuliwe
(Chorus)
(Usinipigie makofi utachoka mikono itauma
cause utamic nyingine
unanijua unaniskia)*2
Punch line zinafuatana
unanijua unaniskia
punch line zinaongozana unanjiua unaniskia
punch line zimegandana
unanijua unaniskia
So usinipigie makofi mikono utachoka
(verse:2)
Inakera kujua majibu na watu hawayulizi kutu
We unajua sie hatujui ila kaa navyo vyote kutu
Maisha kama ubao ila ayaandikwi kwa chalk
Siwezi kukupa vyote ujue na kwangu zimebaki
Mimi ile mitego ya mission na mission kabla ya
kudanja
Ya kwanza kuwa na mkwanja na ya pili kuwa
na mkwanja
Namweka mungu kwanza dunia inashindwa
nivunja
Nusu haramu nusu halali
Upande shehe na upande ninja
Kila bosi na bosi wake
Kama mnyonge na mnyonge wake
Mola alikupa punje na punje akawapa wengine
hakutaka unyanyaswe wala
unyanyase watu wake..
Alichokupa me hakunipani vyetu tutumie wote
Ukipata nusu ina maana umekosa nusu
Na tuseme ya mpoki au masanja we
hayakuhusu
Ni siku ya kwanza ya maisha yangu yaliyobaki
Hivi navyotaka iende
Huu wimbo ni man respect
repeat(chorus)
Unanijua unaniskia *2
(verse:3)
Sina mjadala na ujinga sina nafasi ya kuuweka
Umri unasonga sina muda
Mvi znasogea zitafika
Sipunguziki mimi kama bei za supermarket
Tuna uzito tofauti kama wa shuka na blanketi
Naisafisha sabuni ndo inisafishe maungoni
So usininyooshee kidole
We ni mchafu zaidi ya mimi
Wenzako hawaombi wanashukuru
Wanapenda walichopata
Omba samaki upewe nyoka
Omba upewe usichotaka
repeat(Chorus)
 
''Mara nyingi alikuwa mpole, Mara chache alizoongea wote tulimgeuza shule, Nasaha za bure kama tupo class vile..
Alituasa kuhusu kuhusiana, akatuonya kutokuaminiana, Mtazamo wake na wa mama Terry daima ulifanana'' - MwanaFA

VS

'' Ulikuja kwa Wema kumbe moyoni Sepetu'' ''Mlevi unayekunywa Gongo ukifa utazikwa La Mboto''- Stamina

Naendelea kuonesha utofauti tu wa uandishi... You do the judging!
amelala na bibi harusi na wala
si bwana harusi siku moja kabla ya harusi na bado mnanishauri harusiii...?!!
bado nipo nipo sanaaaaaa
Mungu hakupi kama hataki,hata ukipora itapotea mradi yatimie maandiko....
dont hate the prayer,hate the game dont bi mad...
kuna vingi vya kumuomba mungu kabla hujamuomba utajir.....
Hakuitwa mwanafalsafa kwa kubahatisha,na kama nakosea niko tayar kukosolewa,biNAMU ndo msanii pekee anayetamka kiswahil fasaha ktk ukiacha mjomba
fa MKALI jamani
 
Acheni upunguwani ndugu zangu wengi mnatumia uzoefu tu sababu mwana fa ni mkongwe lakini kwa mistari ya stamina anasubir.Stamina mistar yake inapaswa kuwekwa maktaba na vyuo vikuu kufundishia.kama una uwezo wa kusoma nyuma ya ubao au uoni kwa jicho la tatu huwez kumuelewa stamina.Naunga hoja kama huna digrii mbili uwez kumuelewa stamina.

Kwa hiyo wewe una degree tatu na macho manne basi wewe sio binaadamu wa kawaida sisi wenye macho mawili na elimu ya kawaida tunamkubali mwana FA
 
FA ni mwingi wa majigambo,stamina anacheza na maneno......tungo zenye akili mtafute songa,one, Jay mo,Salu T wale ndo waandishi, FA wa kawaida sana,anatumia ukongwe

Kumbe unajua mwana FA kuwa in mkongwe lakini bado unaleta ubishi?
 
stamina:
maisha yashakunywa super shaft yananizidi nguvu za kiume
natamani kula baga ila naishia viazi vya gairo
maisha ni kama komborela masikini ndo mlinda kopo
mi nadhani haya maisha yana ramani ila alowachorea masikini peni ilimgomea njiani

mwanafa
ingekuwa vipi duniani kusingekuwa na dini...dunia bila dhambi kipimo cha uovu nin...ingekuwa vipi kasi ya ukimwi kusingekuwa na kondom..yan ingekuwaje bila ukimwi tungetinga condom??au ingekuwa kuna ukimwi halafu hakuna condom unadhani mi ningesema mi na mabinti damdam??
kuna mabinti wapo kamili kila idara..familia bora..akili zisio lala..maumbo bomba na sura..wao ni ajira na hawahitaji zaidi ya sera...
sasa wanauliza steve b ni dj au mc...mi sijiviki uwakili na nakaa nje ya hii nategea scratch za bonny..zikitia hewan mi mzigoni...utajuta kuwa vitani au utakoma kwa shindani clap clap..

jamani wenye akili pimeni

tuliza ball wacha kudata
sisi tunaroll bila matata
combination yenyewe umepata
muziki unakuvuta vutaaa unapataaaaa
 
Kwa hiyo wewe una degree tatu na macho manne basi wewe sio binaadamu wa kawaida sisi wenye macho mawili na elimu ya kawaida tunamkubali mwana FA

kutoka bongo fleva hadi jenerali on monday
fa jamani faaaa namkubali huyu kaka baas tuuu
 
dddaaahhh jamani hebu kasikilizeni kwanza album ya mwanafalsafani ndo mje tubishane...daahh eti fa umliganishe na stamina??daaahh mpaka naskia hasira...fa alitoaga wimbo wa ingekuwa vip nakumbuka zilitoka nyimbo kama 3 kuujibu wimbo ule mmoja tu....sister p aliropoookaaa..mwanafa akamjibu kauli moja tu...kasolo zenye kasoro...kama hujui fasihi huwez kuelewa kauli tata za binamu...kaburi halihitaji mbwembwe ndo mana hawaweki ac.....binamu ni chombo kingine

mkuu kasolo zenye kasoro huwa ana maana gani
 
jieleweni jikazeni
msipokomaa waume zenu watawaletea vicheche ndani
niamini binamu B...!!
 
mkuu kasolo zenye kasoro huwa ana maana gani

Okey labda nijaribu kuiweka namna nilivoelewa mimi mana tafsiri huwa zinatofatiana kutokana na uelewa..kama kuna maana nyingine naomba wadau wataongezea...maana yake ni hii katika wimbo wa hey hey dj
sista p alijaribu kumponda binamu katika mashairi ya ingekuwa vipi kwa kumwambia binamu kuwa mistari kaiba kwa mwanamziki flani(jina nimelisahau) na kuuponda kuwa una kasoro nyingi ule wimbo..lakin matamshi yake ya lafudhi akatamka kasolo badala ya kasoro....sasa katika kumjibu ..binamu akaona udhaifu ule wa matamshi ya maneno alionao sista p akaona wala asipoteze nguvu nyiiingiii kumjibu kwa kutunga wimbo mzima bali akamjibu kwa mstari mfupi tu kuwa .."wewe sista p unanikosoa wakati tayari unawasilisha ujumbe ukiwa na kasoro na umeshindwa kutamka hata neno kasoro kwa ufasaha na unatamka kasolo kweli utaweka kunikosoa mimi? Ndo akaandika maneno hayo machache ya "kasolo zenye kasoro".....hii ni kwa maoni yangu wadau kama kuna tafsiri deep zaidi tuendelee kuelimishana maana hatuna degree mbili za kumuelewa stamina mambumbumbu sisi so tunakomaa na binamu
 
Okey labda nijaribu kuiweka namna nilivoelewa mimi mana tafsiri huwa zinatofatiana kutokana na uelewa..kama kuna maana nyingine naomba wadau wataongezea...maana yake ni hii katika wimbo wa hey hey dj
sista p alijaribu kumponda binamu katika mashairi ya ingekuwa vipi kwa kumwambia binamu kuwa mistari kaiba kwa mwanamziki flani(jina nimelisahau) na kuuponda kuwa una kasoro nyingi ule wimbo..lakin matamshi yake ya lafudhi akatamka kasolo badala ya kasoro....sasa katika kumjibu ..binamu akaona udhaifu ule wa matamshi ya maneno alionao sista p akaona wala asipoteze nguvu nyiiingiii kumjibu kwa kutunga wimbo mzima bali akamjibu kwa mstari mfupi tu kuwa .."wewe sista p unanikosoa wakati tayari unawasilisha ujumbe ukiwa na kasoro na umeshindwa kutamka hata neno kasoro kwa ufasaha na unatamka kasolo kweli utaweka kunikosoa mimi? Ndo akaandika maneno hayo machache ya "kasolo zenye kasoro".....hii ni kwa maoni yangu wadau kama kuna tafsiri deep zaidi tuendelee kuelimishana maana hatuna degree mbili za kumuelewa stamina mambumbumbu sisi so tunakomaa na binamu

umenifurahishaje sasa?!!
 
Okey labda nijaribu kuiweka namna nilivoelewa mimi mana tafsiri huwa zinatofatiana kutokana na uelewa..kama kuna maana nyingine naomba wadau wataongezea...maana yake ni hii katika wimbo wa hey hey dj
sista p alijaribu kumponda binamu katika mashairi ya ingekuwa vipi kwa kumwambia binamu kuwa mistari kaiba kwa mwanamziki flani(jina nimelisahau) na kuuponda kuwa una kasoro nyingi ule wimbo..lakin matamshi yake ya lafudhi akatamka kasolo badala ya kasoro....sasa katika kumjibu ..binamu akaona udhaifu ule wa matamshi ya maneno alionao sista p akaona wala asipoteze nguvu nyiiingiii kumjibu kwa kutunga wimbo mzima bali akamjibu kwa mstari mfupi tu kuwa .."wewe sista p unanikosoa wakati tayari unawasilisha ujumbe ukiwa na kasoro na umeshindwa kutamka hata neno kasoro kwa ufasaha na unatamka kasolo kweli utaweka kunikosoa mimi? Ndo akaandika maneno hayo machache ya "kasolo zenye kasoro".....hii ni kwa maoni yangu wadau kama kuna tafsiri deep zaidi tuendelee kuelimishana maana hatuna degree mbili za kumuelewa stamina mambumbumbu sisi so tunakomaa na binamu

asante mkuu
 
Huyo Stamina anaye lazimisha vina hata mistari isiyo na maana damn umemdharau sana FA. Stamina hata Nikki wapili, Mbishi na One bado hajaweza kuwafikia sembuse FA? Dogo mkali tena sana but sio kwa level hizo za FA
 
Back
Top Bottom