Wakuu,
Ni mara ya kwanza kunitokea hali hii after kufanya mapenzi na my fiance this weekend, niligundua natoka damu ktk mboo after kwenda kukojoa yani niliumia sana as if kuna viwembe vinakata ktk njia ya mkojo, kujiangalia baada ya kukojoa nikakuta damu inatoka kwenye mboo.na kuanzia hapo damu imekua inatoka kila nikikojoa.
Jamani wataalamu naombeni msaada hii ni kitu gani?? na nini kisababishi??na dawa yake nini??
Natanguliza shukrani zangu...
Ni mara ya kwanza kunitokea hali hii after kufanya mapenzi na my fiance this weekend, niligundua natoka damu ktk mboo after kwenda kukojoa yani niliumia sana as if kuna viwembe vinakata ktk njia ya mkojo, kujiangalia baada ya kukojoa nikakuta damu inatoka kwenye mboo.na kuanzia hapo damu imekua inatoka kila nikikojoa.
Jamani wataalamu naombeni msaada hii ni kitu gani?? na nini kisababishi??na dawa yake nini??
Natanguliza shukrani zangu...