Damu wakati wa mimba

Damu wakati wa mimba

IgKim

Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
28
Reaction score
21
Naomba wataalamu watuambie ni vyakula gani mwanamke anaweza kula akaongeza damu haraka wakati wa ujauzito au ni dawa gani zinazoweza kumfaa kuongeza kiwango cha damu naomba jibu wataalamu.
 
Clinic huwa wanapewa iron suppliment.

Matembele, mchicha nk
 
Naomba wataalamu watuambie ni vyakula gani mwanamke anaweza kula akaongeza damu haraka wakati wa ujauzito au ni dawa gani zinazoweza kumfaa kuongeza kiwango cha damu naomba jibu wataalamu.
Habari,
Utaratibu wa njia ya kuongeza damu hutegemea na kiasi cha damu, umri wa ujauzito pamoja na yote mlo kamili huambatana katika njia zote.

1: Kunywa dawa ambazo zina kiasi kikubwa cha madini chuma na folic acid.

2: Kuchoma sindano au drip yenye kimiminika chenye madini chuma.

3: Kuongezewa damu

NB: Lishe au mlo kamili huusisha:
1: Tunda/matunda ya msimu kwa kila mlo.

2: Vyakula jamii ya protein: jamii ya kunde, nyama , maziwa, mayai na samaki mfano dagaa.

3: Mboga za majani zinazipatikana kwenye eneo la muhusika.

4: Vyakula vya wanga: wali, ugali, viazi nk.

Tende na maziwa zimejizolea nafasi kwenye hili poa.
 
Naomba wataalamu watuambie ni vyakula gani mwanamke anaweza kula akaongeza damu haraka wakati wa ujauzito au ni dawa gani zinazoweza kumfaa kuongeza kiwango cha damu naomba jibu wataalamu.
Aende clinic anapewa.
Ale matembele, rozela, beetroot
 
Matembele na Dagaa ni mwisho wa matatizo
 
Back
Top Bottom