Polisi wanalinda viongozi tu. Wangelinda wananchi na mali zao. Waporaji ndio wanalindwa kwasababu katika hali hii ndio wenye uwezo wa kulipa mishahara.
Haya maandamano yanaenda wapi, hawafiki tu?
Wananchi wasimame kidete kutetea maslahi ya nchi yao, wasiogope mikakati ya polisi.
Watakufa wengi lakini wasirudi nyuma kwa namna yoyote Flelimo waondoke na wasirudi kamwe.
Haya maandamano yanaenda wapi, hawafiki tu?
Wananchi wasimame kidete kutetea maslahi ya nchi yao, wasiogope mikakati ya polisi.
Watakufa wengi lakini wasirudi nyuma kwa namna yoyote Flelimo waondoke na wasirudi kamwe.