......ni hivi ile damu ya hedhi ikisha toka ukeni,endapo mtu mwingine ataigusa au kuilamba ina madhara? kuna mtu alijaribu kuchanganya maji ya damu kwenye chakula akampa mbwa anadai alishuhudia mbwa akidhoofika kiafya na hatimae akafa,ndio mana nkasema kwa anaejua zaidi anijuze.
......ni hivi ile damu ya hedhi ikisha toka ukeni,endapo mtu mwingine ataigusa au kuilamba ina madhara? kuna mtu alijaribu kuchanganya maji ya damu kwenye chakula akampa mbwa anadai alishuhudia mbwa akidhoofika kiafya na hatimae akafa,ndio mana nkasema kwa anaejua zaidi anijuze.
Ramba kidogo uone,usisikie mambo ya uzushi!!Yani watu wengine jamani,yaani umenogewa mpaka sasa unataka ule na hiyo damu,muulizie huyo shemeji yetu kama haina madhara awe anakukingia unatengeneza kisusio natumaini itakuwa tamu sana.:heh::heh:......ni hivi ile damu ya hedhi ikisha toka ukeni,endapo mtu mwingine ataigusa au kuilamba ina madhara? kuna mtu alijaribu kuchanganya maji ya damu kwenye chakula akampa mbwa anadai alishuhudia mbwa akidhoofika kiafya na hatimae akafa,ndio mana nkasema kwa anaejua zaidi anijuze.