daudi Tandila
Member
- Apr 12, 2019
- 53
- 86
Jamani hakuna engine hata Moja ya mradi iliyopokelewa! Hizo safari zitaanzaje? Hata engine zikija Leo, pamoja na mabehewa yaliyopo ambayo yalileta mzozo yalipopokelewa, sidhani kama kweli testing itafanyika halafu mradi uanze mwezi ujao. Hii Haiwezekani!