Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?