Danadana ya kupatikana Katiba mpya lengo ni kuhalalisha mikataba mibovu

Danadana ya kupatikana Katiba mpya lengo ni kuhalalisha mikataba mibovu

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
 
Tulikuwa tumejikita kwenye Katiba mpya mara ghafla tukakurupukia kwenye Bandari.

Katiba mpya Katiba mpya Katiba mpya
 
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
Hakuna bunge nimeshawahi kulidharau kwenye historia ya Taifa letu kama bunge hili.

Na hii ni regardless of the constitution that we’ve had since independence.
 
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
Baadae ya bandari itafuata
1. Tanesco (hapa poa tu)
2.Tanapa
3.ATCL(hapa poa tu)
4.TRC(hapa poa tu)
5.Mafia island
 
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
Nchi imejengwa kwenye misingi ya utapeli
 
Chama cha Mfalme Mangungo (CCM) fikra zake, sera, misingi, falsafa na hata itikadi yake ni lazima zimuwakilishe yeye, kwa kuwa ndiye "icon" ya chama kimipango na kimikakati.
 
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
Bila shaka umechelewa sana kumgundua huyu adui namba moja wa Taifa letu.
 
Nchi imejengwa kwenye misingi ya utapeli

Nina hakika hata ile rasimu ya Warioba haingetoa mwanya kwa huu upuuzi tunaoushuhudia. Tutegemee kushuhudia mengine mengi.

Kwa kasi hii Watanganyika msipozinduka tutakula mabua. Kwa hili Bunge hatuna chetu, CCM ni ile ile, watu ni wale wale na sera ni zile zile.
 
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
Vingi vitafuata Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?
P
 
Kwani wazee wa maridhiano hamkushirikishwa?

Mapambio yote yale ya kumsifia Mama yenu bado holaa!

Toka bunge la kwanza la vyama vingi hakuna muswada wala azimio lililopelekwa na serikali bungeni limewahi kugonga mwamba sababu ya uwepo wa wapinzani bungeni.
 
Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.

Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.

Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.

Baada ya bandari kipi kitafuata?
Kwahiyo wewe unataka Bandari ibaki kama kambi ya wavuvi mpuuuzi wewe, Kama ulikuwa unafurahia kuchelewa kwa mizigo umeumia
 
Back
Top Bottom