Hakuna bunge nimeshawahi kulidharau kwenye historia ya Taifa letu kama bunge hili.Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?
Wala raisHakuna bunge nimeshawahi kulidharau kwenye historia ya Taifa letu hili.
Baadae ya bandari itafuataBaada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?
Nchi imejengwa kwenye misingi ya utapeliBaada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?
Too lateHakuna bunge nimeshawahi kulidharau kwenye historia ya Taifa letu kama bunge hili.
Na hii ni regardless of the constitution that we’ve had since independence.
Shida ilianza 2020!Na hii ni regardless of the constitution that we’ve had since independence.
Bila shaka umechelewa sana kumgundua huyu adui namba moja wa Taifa letu.Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?
Nchi imejengwa kwenye misingi ya utapeli
Vingi vitafuata Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?Baada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?
Kwahiyo wewe unataka Bandari ibaki kama kambi ya wavuvi mpuuuzi wewe, Kama ulikuwa unafurahia kuchelewa kwa mizigo umeumiaBaada ya Bunge la CCM kupitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World ya Dubai hakuna tena shaka kuwa adui wa taifa hili ni CCM.
Kumbe ile dana dana iliyokuwa ikipigwa kuchelewesha upatikanaji wa Katiba Mpya, ilikuwa kuwezesha Tanzania kuingia laini katiba mikataba ya aina hii.
Sote tumeshuhudia vipengele kadhaa ndani ya hii Katiba chakavu vikitumika lengo kuu likiwa ni kuhalalisha makabidhiano ya bandari zetu kwa wageni.
Baada ya bandari kipi kitafuata?