Dancing ingelipa kiasi hiki basi Moze Iyobo na Angel Nyigu wangekuwa mabilionea

Dancing ingelipa kiasi hiki basi Moze Iyobo na Angel Nyigu wangekuwa mabilionea

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Tuache masikhara na maisha, watu wamecheza sana kiasi kwamba huyu anayejiita Chino kid hafiki hata nusu, hata akisema anaimba, watu wameimba sana, kina Jay melody, Ray vanny mwenyewe mpaka kufikia hapo ameshasota sana na hajapata mafanikio ya ghafla na haraka, amefanya mziki tukiwa tunamuona.

Sasa huyu chino hata ukiniuliza hit song yake hata moja sijui, hizo dancing labda anafanya huko background, sijui lakini najua kuna dancers wakali mno kumzidi yeye.Labxa anafanya biashara? Mbona hazijulikani?

Huu utajiri, Pesa, Mali, Majumba na magari ya kifahari na hana hata miaka mitano kwenye industry au hata akiwa nayo bado hajawa na impact yoyote ya kushtua, INATIA MASHAKA SANA 🤔🤔🤔
20241016_022235.jpg
20241016_022316.jpg
20241016_022415.jpg
20241016_022111.jpg
20241016_022139.jpg
 
Nafikiri huyu kijana amepata hela nyingi kwa kina tulia ackson na viongozi wengine wa serikali kwenye shughuli zao alizotumbuiza.

Japo kiuwezo jamaa anauwezo mdogo sana wa dance na muziki sema bahati tu inamng'arisha zaidi, sikuizimziki sio kujua kuimba sana au kujua kucheza sana ni inategemea yani Kwahiyo kijana apiga mamillion kwa wakubwa wanchi ndio kama hivyo yani katoboa
 
Nafikiri huyu kijana amepata hela nyingi kwa kina tulia ackson na viongozi wengine wa serikali kwenye shughuli zao alizotumbuiza.

Japo kiuwezo jamaa anauwezo mdogo sana wa dance na muziki sema bahati tu inamng'arisha zaidi, sikuizimziki sio kujua kuimba sana au kujua kucheza sana ni inategemea yani Kwahiyo kijana apiga mamillion kwa wakubwa wanchi ndio kama hivyo yani katoboa
Aise, Mrisho Mpoto hana hata Range moja😀 kwa perfomance anazopiga daily kwenye hizo shughuli za kisiasa angeshakuwa tajiri sana
 
Kwenye kutafuta riziki ukipata jina maana yake unatumia jina kufanya mambo mengine Kama Biashara.


Diamond alisema angekuwa nategemea muziki tu angekuwa hana mafanikio aliyonayo
Pia lady Jaydee na wasanii wote wakubwa hata America wanafanya Biashara mbali mbali.


Ukitegemea mziki hata Kama una jina kubwa itakuwa ngumu kwako kuwa na mafanikio makubwa .
Sawa kiongozi, kwa hiyo tunakubaliana chino anafanya biashara, ana godowns kadhaa, biashara za hotel kadhaa na anamiliki karasha
 
Huu utajiri, Pesa, Mali, Majumba na magari ya kifahari na hana hata miaka mitano kwenye industry
Umezunguka sana, ila kinachokusumbua ni :

wivu

mtu asiyependa mwingine apate mafanikio; mtu mwenye kijicho

Hali iliyokufanya uwe na:

chuki

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya


Nb: Nipe uhusiano wa kufanya kazi muda mrefu na mafanikio. Mfano kuna mchezaji alicheza yanga miaka kumi iliyopita, halafu kuna mchezaji anacheza yanga mwaka wa tatu sasa.

Nb: Bado unaamini kuwa na umri mkubwa ndiyo mafanikio?? Linganisha dunia yako na dunia ya sasa, unaona ipi ina fursa zaidi?

Nb: Kuna nyakati huamua nini kifanyike coz ndiyo kinahitajika kwa wakati huo. Mfano Elon Musk na Mark Zuckerberg utajiri wao umepaa haraka sana kulingana na nyakati!
 
Umezunguka sana, ila kinachokusumbua ni :

wivu

mtu asiyependa mwingine apate mafanikio; mtu mwenye kijicho

Hali iliyokufanya uwe na:

chuki

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya


Nb: Nipe uhusiano wa kufanya kazi muda mrefu na mafanikio. Mfano kuna mchezaji alicheza yanga miaka kumi iliyopita, halafu kuna mchezaji anacheza yanga mwaka wa tatu sasa.

Nb: Bado unaamini kuwa na umri mkubwa ndiyo mafanikio?? Linganisha dunia yako na dunia ya sasa, unaona ipi ina fursa zaidi?

Nb: Kuna nyakati huamua nini kifanyike coz ndiyo kinahitajika kwa wakati huo. Mfano Elon Musk na Mark Zuckerberg utajiri wao umepaa haraka sana kulingana na nyakati!
Hakuna mwenye wivu mkuu, Tumia tu akili ya kawaida, na ishi katika uhalisia, Range moja latest edition si chini ya mil 200, ukipiga show ya dancing, anayelipwa zaidi ni msanii, diamond alisema show zake hafanyi chini ya milioni 60, na huyo ni top artist, sasa sembuse dancer? Ukijitahidi sana utalipwa milioni 5, Je, utahitaji dance show ngapi ili uweze kumiliki Range? Achilia mbali hayo magari mengine anayomiliki pamoja na majumba
 
Nafikiri huyu kijana amepata hela nyingi kwa kina tulia ackson na viongozi wengine wa serikali kwenye shughuli zao alizotumbuiza.

Japo kiuwezo jamaa anauwezo mdogo sana wa dance na muziki sema bahati tu inamng'arisha zaidi, sikuizimziki sio kujua kuimba sana au kujua kucheza sana ni inategemea yani Kwahiyo kijana apiga mamillion kwa wakubwa wanchi ndio kama hivyo yani katoboa
katika maisha omba sana uwe na bahati
 
Back
Top Bottom