John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Tuache masikhara na maisha, watu wamecheza sana kiasi kwamba huyu anayejiita Chino kid hafiki hata nusu, hata akisema anaimba, watu wameimba sana, kina Jay melody, Ray vanny mwenyewe mpaka kufikia hapo ameshasota sana na hajapata mafanikio ya ghafla na haraka, amefanya mziki tukiwa tunamuona.
Sasa huyu chino hata ukiniuliza hit song yake hata moja sijui, hizo dancing labda anafanya huko background, sijui lakini najua kuna dancers wakali mno kumzidi yeye.Labxa anafanya biashara? Mbona hazijulikani?
Huu utajiri, Pesa, Mali, Majumba na magari ya kifahari na hana hata miaka mitano kwenye industry au hata akiwa nayo bado hajawa na impact yoyote ya kushtua, INATIA MASHAKA SANA 🤔🤔🤔
Sasa huyu chino hata ukiniuliza hit song yake hata moja sijui, hizo dancing labda anafanya huko background, sijui lakini najua kuna dancers wakali mno kumzidi yeye.Labxa anafanya biashara? Mbona hazijulikani?
Huu utajiri, Pesa, Mali, Majumba na magari ya kifahari na hana hata miaka mitano kwenye industry au hata akiwa nayo bado hajawa na impact yoyote ya kushtua, INATIA MASHAKA SANA 🤔🤔🤔