Dancing ingelipa kiasi hiki basi Moze Iyobo na Angel Nyigu wangekuwa mabilionea

Dancing ingelipa kiasi hiki basi Moze Iyobo na Angel Nyigu wangekuwa mabilionea

Kitu ambacho hata Mzee kikwete aliwahi hoji...."Ni pale watanzania wanapoona Kiongozi wa kawaida tu ila Mara baada ya kupata uongozi, anaanza kujikusanyia Mali ".

Hapa lazima wahoji.

Ukweli ni kua, Nyuma ya huyu Msanii Kuna utakatishaji mkubwa wa Pesa na Huenda nitakua sijakosea kua anajihusisha na biashara haramu.

Kwa aina ya muziki na dance ya hapa Bongo , HUWEZI KUA NA UKWASI MKUBWA NAMNA HIYO NDANI YA MUDA MFUPI HIVO

Sasa watu wanapohoji, msiwapige , Maisha unayoishi yanaonekana na yanapimika.
Manager wake ni Issa Mpemba, ambaye biashara yake inafahamika vizuri tu. Time will tell.
 
Sijahukumu kwamba haiwezekani yeye kumiliki kihalali hayo mambo, Ila inatia mashaka.Nimetoa mfano hapo juu, kibongobongo top artist Diamond platnumz aliwagi kusema haperfom bila milioni 60, na huyo ni top artist, sembuse dancers wa show? Au hata akiperform kama artist, sanasana atalipwa milioni 5, Labda kama ataperform huko Grammy, Superbowl au BET ndiyo angeweza kulipwa hiyo bilioni kadhaa, jambo ambalo sidhani kama amewahi kufanya. Range moja new edition si chini ya mil 200, Je, unahitaji show ngapi ili uweze kumiliki range? Achilia mbali magari mengine ya kifahari, majumba n.k Ndiyo maana nasema inatia mashaka mno.
Kama kweli kuna wafatiliaji wa hayo yanayoharibu vijana wetu, wangefanyia kazi haya unayoyasema. Manager wake anajihusisha na mambo haya, na anajulikana. Kwa hiyo hapa kuna kuuza na kutakatisha fedha mchana kweupee.
 
Nilijua akili zako ndio maana , unaamini katika mambo hayapo wakati kazi zinaonekana .
Kazi gani zinaonekana? Show ya maana aliyowahi kuifanya ni ile ya simba day tu.
Zilizobaki zote hazifiki hata m1 kwa show, mtu anaimba kwenye kabaa kadogo huko katavi unategemea apate sh ngapi? Ukiacha nyumba umeona gari alizoonyesha kuwa anamiliki? Huyo ni msanii kwenye jumba la sanaa tu.
 
Kazi gani zinaonekana? Show ya maana aliyowahi kuifanya ni ile ya simba day tu.
Zilizobaki zote hazifiki hata m1 kwa show, mtu anaimba kwenye kabaa kadogo huko katavi unategemea apate sh ngapi? Ukiacha nyumba umeona gari alizoonyesha kuwa anamiliki? Huyo ni msanii kwenye jumba la sanaa tu.
Anafanya kazi hakuna pesa ya bure , anapambana kweli .
 
Anafanya kazi hakuna pesa ya bure , anapambana kweli .
Jamaa anafanya kazi hakuna ubishi ila mafanikio yange hayalingani na kazi yake, uzuri kazi yake sio ya siri ni hadharani kwahiyo inaonekana.
Nyumba + yale magari nakataa kuwa yameletwa na muziki pekee
 
Nafikiri huyu kijana amepata hela nyingi kwa kina tulia ackson na viongozi wengine wa serikali kwenye shughuli zao alizotumbuiza.

Japo kiuwezo jamaa anauwezo mdogo sana wa dance na muziki sema bahati tu inamng'arisha zaidi, sikuizimziki sio kujua kuimba sana au kujua kucheza sana ni inategemea yani Kwahiyo kijana apiga mamillion kwa wakubwa wanchi ndio kama hivyo yani katoboa
Dullah Makabila.
 
🐼👇
1000012938.jpg
 
Mtoa mada ana kitu asikilizwe...huwez kuruka ruka tu kweny show ...hueleweki unachoimba....ni kutaja taja tu majina ya watu afu uwe na ukwasi wa hivo...aitha kuna project haramu anapush au kashajizisajili kwa wale mawakala wa P didy
 
Back
Top Bottom