Dangote aeleza alivyonyimwa Mafuta na Nchi yake Nigeria. Hata alipotaka kuagiza ya nje alinyimwa kibali

Dangote aeleza alivyonyimwa Mafuta na Nchi yake Nigeria. Hata alipotaka kuagiza ya nje alinyimwa kibali

Mtu mweusi hatari sana.Ni kama tu hapa Tanzania awamu ya sita anavyowanyanyasa wa Tanzania Kwa manufaa ya wazungu.kule mara wanakijiji wanafukuzwa hovyo ili kuwapa maeneo wawekezaji wa madini pamoja na wafanyabiashara wadogo(machinga)Nchi nzima kufukuzwa hovyo na hii serikali dhalimu ya huyu mama yao
 
Dangote hii issue imestress sana hadi anajuta kuwekeza kwao nigeria, lakini ukiangalia refinery kama yake Afrika ziko mbili tu nadhani Algeria na Angola, lakini vikwazo anavyokutana navyo ni hatari sana, amewaomba aimport mafuta na atakua anasafirisha ili soko la mafuta yao awaachie bado hawataki, na wao wanataka wapewe shares nyingi ilihali hawajaweka pesa yoyote
Pesa aliyomwaga sio ya Nchi hii,angejua angeenda hata Namibia au Angola au Uganda
 
Pesa aliyomwaga sio ya Nchi hii,angejua angeenda hata Namibia au Angola au Uganda
Ile refinery angeiweka Tanga au hoima ingemlipa sana lakini Tanga ilikua best option maana angeuziwa mafuta ghafi na kuyasafisha angeuza soko la afrika mashariki na kati, sema watu wake wa tafiti hawakumstua, halafu serikali ya nigeria ilikaa kimya alipomaliza ndio vikaanza visa lukuki sasa
 
Bwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.

Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.

Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?

Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.👇👇
View attachment 3058435

Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.

Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.

Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.

Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji

Chanzo: Mwananchi

----

My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.👇👇

View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19

Hata unabaki kuwa mtu mweusi na hizo tabia pia unazo kafanyiwa kwao kwenye nchi yake halafu unalalamika passport kwenye awamu hii sio iliyopita huoni una tatizo lakini hujijui!
 
Na ndio maana wazungu hawataacha kutuonea,,natutaendelea kuteseka mpaka siku akili zitakapotukaa vizuri na mpaka kufika hiyo siku tutakua hatuna lolote wala chochote.
 
Bwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.

Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.

Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?

Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.👇👇


Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.

Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.

Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.

Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji

Chanzo: Mwananchi

----

My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.👇👇

View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19

Updates 😆😆

View: https://www.instagram.com/p/C-XnDafKwbB/?igsh=MXFsb2h5ZmM3bjR2cg==
 
Hii imenikumbusha uwekezaji wa Starlink ulivyokwamishwa hapa nchini kwa maslahi ya watu wachache. Mtu mweusi ni aidha amelaaniwa au bado hajawa binadamu kamili, huwezi kuzuia mradi utakaobadilisha maisha ya wananchi wako eti kisa hujapewa chochote! Hiyo ndo tofauti ya wao (wazungu, waarabu na waachina) na sisi (watu weusi)
 
Hili jambo lipo na UKWELI MTU mweusi kuna mambo hayuko sawa .

Watazame black people waliozaliwa na kukulia marekani.!
 
Bwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.

Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.

Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?

Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.👇👇


Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.

Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.

Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.

Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji

Chanzo: Mwananchi

----

My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.👇👇

View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19

Ajee tanzaniaaa akubali kula na wenziee
 
Nigeria wana changamoto ya makampuni ya Nje kuiba mafuta pale kwa hiyo hao ndio wanafanya figisu ili Dangote asipate kibali pale hao Wafaransa walioshika usukani wana balaa sana hata wale Shell ambao Mwalimu aliwatimua wana uwezo wa kumpangia Rais nini cha kufanya kama wanavyofanya wahuni wa mafuta hapa Tanzania kwa kuwapangia Ewura bei elekezi ambazo muda wote ziwe faida upande wao tu..
 
Bwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.

Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.

Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?

Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.👇👇


Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.

Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.

Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.

Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji

Chanzo: Mwananchi

----

My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.👇👇

View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19

Huo ndio uchoyo na ubaya wa roho za waafrika.
 
Ile refinery angeiweka Tanga au hoima ingemlipa sana lakini Tanga ilikua best option maana angeuziwa mafuta ghafi na kuyasafisha angeuza soko la afrika mashariki na kati, sema watu wake wa tafiti hawakumstua, halafu serikali ya nigeria ilikaa kimya alipomaliza ndio vikaanza visa lukuki sasa
Yaani upo sahihi kabisa. Toka anaanza ujenzi wa refinery, serikali naamini ilimpa vibali, kwa sababu there is no way ukajenga mradi mkubwa namna hiyo bila vibali. Sasa kakamilisha refinery then ananyimwa malighafi. That is so sad indeed. Wametaka tu kumuumiza Dangote. Hii ngozi imelaanika sana!
 
Nime highlight some remarkable quotes from P.W. BOTHA,
Inawezekana Botha alikua SAHIHI kututukana WAKATI ule wa apartheid era in S.A.

NUKUU,
""
We do not pretend like other Whites that we like Blacks. The fact that, Blacks look like human beings and act like human beings do not necessarily make them sensible human beings. Hedgehogs are not porcupines and lizards are not crocodiles simply because they look alike

By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex.

Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn’t it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man?

Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women?

Our experts should work day and night to set the Black man against his fellowman. His inferior sense of morals can be exploited beautifully. And here is a creature that lacks foresight. There is a need for us to combat him in long term projections that he cannot suspect. The average Black does not plan his life beyond a year: that stance, for example, should be exploited. ""

Aisee,
BOTHA ANAWEZA KUA ALIKUA SAHIHI KUHUSU MTU MWEUSI.
 
rushwa inachangia.. Weusi ni rahisi kupata rushwa kwa wageni, wakiona mzawa hutoi rushwa, wanakukwamisha... Ile biashara ya mafuta imejaa ufisadi sana, hayo si madini ? lazima ufisadi umejificha ndani yake
 
Akili ya watu wengi weusi Ina kasoro kubwa na nadhani Ina ubinafsi mkubwa ambao hauna maslahi kwake ,yaani Yuko radhi wote mhatibikiwe.

Cc wakati wa kutumbua majibu,nataka matajiri waishi kama mashetani wasiende Dubai kutumbua maisha 😂😂😂😂😂
Sawa ulitaka Wezi na mafisadi watambe kama Sasa?
 
Back
Top Bottom