Pesa aliyomwaga sio ya Nchi hii,angejua angeenda hata Namibia au Angola au UgandaDangote hii issue imestress sana hadi anajuta kuwekeza kwao nigeria, lakini ukiangalia refinery kama yake Afrika ziko mbili tu nadhani Algeria na Angola, lakini vikwazo anavyokutana navyo ni hatari sana, amewaomba aimport mafuta na atakua anasafirisha ili soko la mafuta yao awaachie bado hawataki, na wao wanataka wapewe shares nyingi ilihali hawajaweka pesa yoyote
Ile refinery angeiweka Tanga au hoima ingemlipa sana lakini Tanga ilikua best option maana angeuziwa mafuta ghafi na kuyasafisha angeuza soko la afrika mashariki na kati, sema watu wake wa tafiti hawakumstua, halafu serikali ya nigeria ilikaa kimya alipomaliza ndio vikaanza visa lukuki sasaPesa aliyomwaga sio ya Nchi hii,angejua angeenda hata Namibia au Angola au Uganda
Hata unabaki kuwa mtu mweusi na hizo tabia pia unazo kafanyiwa kwao kwenye nchi yake halafu unalalamika passport kwenye awamu hii sio iliyopita huoni una tatizo lakini hujijui!Bwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.
Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.
Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?
Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.ππ
View attachment 3058435
Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.
Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.
Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.
Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji
Chanzo: Mwananchi
----
My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.ππ
View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19
Tumeshampata mchawi wetu.Ndiyo maana najiuliza kwa nini sipati utajiri
Kumbe serikali inachangia
Updates ππBwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.
Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.
Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?
Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.ππ
Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.
Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.
Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.
Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji
Chanzo: Mwananchi
----
My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.ππ
View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19
Inasikitisha sana
Ajee tanzaniaaa akubali kula na wenzieeBwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.
Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.
Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?
Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.ππ
Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.
Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.
Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.
Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji
Chanzo: Mwananchi
----
My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.ππ
View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19
SGRusimsahau bundi
Huo ndio uchoyo na ubaya wa roho za waafrika.Bwana Dangote Tajiri Mkubwa Afrika ameeleza Kwa uchungu namna Mtu mweusi ana roho mbaya ya kuthamini vitu vya mweupe lakini sio vitu vya kwao weusi.
Vikwazo alivyokutana navyo bwana Dangote ni uthibitisho wa akili za hovyo za mtu mweusi.Haya hapa Tanzania awamu Ile iliyopita kulibakia kidogo afungashe virago kwenye biashara ya saruji Mtwara Kwa sababu zile zile za kukosa akili Kwa mtu mweusi.
Just imagine huyo ni Tajiri anayumbishwa hivyo itakuwaje Kwa mfanyabiashara na mjasiliamali wa kawaida?
Tangote ni mfano wa mbali ila ukitaka kujua Hali ikoje Kwa mtu mweusi wa hapa Tanzania nenda tuu katafute passport ya kusafiria Nje Nchi na usiwe na jina Kisiasa au Cheo ndio Utajua hujui.ππ
Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia.
Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi.
Kwa bahati mbaya, tangu uzinduzi wa kiwanda chake cha kusafisha mafuta, Aliko amekumbana na vikwazo vingi vya kibiashara. Serikali ya Nigeria, ambayo ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa mafuta duniani, ilidai kwamba haina mafuta ghafi ya kumpatia Dangote.
Dangote alikasirika sana aliposikia habari hizi na akaamua kwenda Brazil na Marekani kununua mafuta ghafi. Kwa bahati mbaya, na kwa mshangao wake mkubwa, alipotaka kuingiza mafuta haya ghafi kutoka nchi hizo kwa ajili ya kuyasafisha kwenye kiwanda chake, serikali ya Nigeria ilipinga ikisema kwamba hana leseni za uagizaji
Chanzo: Mwananchi
----
My Take
Pole sana bwana Dangote,ukitaka uwe safe na utajiri wako hapa Afrika lazima upige Magoti Kwa Wanasiasa au naweza pia uwe mwanasiasa.ππ
View: https://twitter.com/EduTalkTz/status/1818741061625495640?t=SqzsC3V1Dz2qtxdH4o21Jw&s=19
Yaani upo sahihi kabisa. Toka anaanza ujenzi wa refinery, serikali naamini ilimpa vibali, kwa sababu there is no way ukajenga mradi mkubwa namna hiyo bila vibali. Sasa kakamilisha refinery then ananyimwa malighafi. That is so sad indeed. Wametaka tu kumuumiza Dangote. Hii ngozi imelaanika sana!Ile refinery angeiweka Tanga au hoima ingemlipa sana lakini Tanga ilikua best option maana angeuziwa mafuta ghafi na kuyasafisha angeuza soko la afrika mashariki na kati, sema watu wake wa tafiti hawakumstua, halafu serikali ya nigeria ilikaa kimya alipomaliza ndio vikaanza visa lukuki sasa
Sawa ulitaka Wezi na mafisadi watambe kama Sasa?Akili ya watu wengi weusi Ina kasoro kubwa na nadhani Ina ubinafsi mkubwa ambao hauna maslahi kwake ,yaani Yuko radhi wote mhatibikiwe.
Cc wakati wa kutumbua majibu,nataka matajiri waishi kama mashetani wasiende Dubai kutumbua maisha πππππ