Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Nilitarajia kumkuta Kiduku Lilo ....disappointed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google Forbes.beth, Ingekua vizuri utuwekee hiyo report
Hii report iko na Ukakasii ina maana Mzee Bakhera hayupo kwa list.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wa Tanzania wanafaidi sana, sijui ni wangapi wameingia katika stock market ili kuwafaidisha watu wengi zaidi na huyu Mo anapenda kujisifu kuwapa watu wengi ajira lakini sidhani kama anajali kuhusu mishahara na mazingira ya kazi. Pure capitalism and selfishness at its level best
Umasikini wa akili na wivu ndio umekujaa. Fungua hata kuuza karanga tuone utawalipa sh ngapi.
Biashara yeye kakopa na kuwekeza hela anaitaka irudi na apate faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu mafao ni makubaliano kaka wanasema kama unaona ndogo unatafuta pazuri zaidi...ila in reality Mo ndo anaongoza kwa kuajili watu wengi zaidi afrika mashariki na kati.Nadhani kilichomahusha ni serikali kukamata soko la korosho maana ndo alikua anacontrol akmost 90%
Mdogo mdogo na Mimi nitakua billionea kwa biashara yangu ya kuku
Ndio
Mfanyabiashara maarufu nchini Mohammed Dewji (Mo) ametajwa kuwa miongoni mwa mabilionea 20 wa Afrika kwa ripoti ya mwaka 2020 licha ya utajiri wake kupungua kwa Dola milioni 300 (Sh692.67 bilioni).
Katika orodha hiyo ya jarida mashuhuri la Forbes kwa mwaka huu limemtaja Mo mwenye miaka 44 kama bilionea namba 16 huku mfanyabiashara wa saruji, sukari na unga (Aliko Dangote wa Nigeria) akiongoza orodha hiyo.
Utajiri wa Mo umetajwa kufikia Dola bilioni 1.6 (Sh3.69 trilioni) na anayeshikilia namba moja utajiri wake ni Dola bilioni 10.1 (Sh23.31trilioni) naye utajiri wake ukiwa umepungua kutoka bilioni 10.3 (Sh23.78 trilioni) mwaka jana.
Katika orodha ya jarida hilo mwaka jana Mo ambaye ni raia wa Tanzania anayefanya biashara mchanganyiko alikuwa nafasi ya 14 akiwa na utajiri wa Dola bilioni 1.9 (Sh4.3trilioni) hivyo kwa mwaka huu ameshuka nafasi tatu.
“Imepungua Dola milioni 300 (Sh692.67 bilioni), lakini nina watu 32,000 na mwaka huu natarajia kuwekeza Sh500 bilioni hapa hapa nchini na uwekezaji huo utatoa ajira 100,000 kwa Watanzania,” alisema Mo baada ya ripoti hiyo akiwa ndiye Mtanzania pekee aliyeingia katika orodha hiyo.
[/