Dangote aongoza kwa utajiri Afrika, Mo Dewji ashika nafasi ya 16

Umasikini wa akili na wivu ndio umekujaa. Fungua hata kuuza karanga tuone utawalipa sh ngapi.
Biashara yeye kakopa na kuwekeza hela anaitaka irudi na apate faida
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umasikini wa akili na wivu ndio umekujaa. Fungua hata kuuza karanga tuone utawalipa sh ngapi.
Biashara yeye kakopa na kuwekeza hela anaitaka irudi na apate faida

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijui hata kama umeelewa au unakimbilia kunijibu. No wonder tupo maskini hadi leo maana hata tu kuelewa tu faida za kampuni kubwa kama hizo kwenda public hatujui na umuhimu wa kampuni kama hiyo kutoa stahiki kwa wafanyakazi wake kulinda reputation yake. Ila ndo tupo bongo, average thinkers na tupo okey with just anything, mtu anatengeneza super normal profits out of exploitation unataka nimpigie makofi. To hell with your personal attacks to anonymous guy on Jf
 

Sijakataa na ndio maana nimesema ni pure capitalism. Naelewa anachokifanya na ninampongeza lakini anatakiwa kujali malipo na mazingira ya kazi kwa hao wafanyakazi ambao ameamua kuwa nao.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…