Serikali hipo nyuma ya msauzi afrika kuujumu dangote kwa sababu msauzi ndiyo anamiliki viwanda vya saruji nchini hivyo ujio wa dangote ulikuwa tatizo kwaoWakuu nawasalimu sana.
Dangote anaenda kenya, hiki kiwanda atakachojenga kenya ndio kile alichotaka kujenga kigoma ili ashike soko la Burundi na Congo, serikali kutoheshimu makubaliano ya kibiashara itatugharimu viwanda kuondoka ni kosa kubwa kwani katika viongozi wanaopiga kelele hakuna wa kuweza kugombana na yajiri level ya Dangote narudia tena hakuna sana tutaumia sisi.
Washauri hakikisheni mnamaliza matatizo forbes washatuandika vibaya hivyo kuweni makini ni rahisi kuwekeza malawi kuliko Tanzania.
Kuna tabia ya waTanzania kupenda kuiponda serekali yao bila hata kuujua ukweli,ilimradi tu awe ametoa kashifa kwa nchi yake na kuisifia ya pembeni,ni kawaida kabisa kwa waTanzania,kila ukifika vijiweni,kwenye mkusanyiko wa watu kidogo utakuta raia wanasema vibaya tu kwa kila kitu hata kama kuna jema hawalioni,hapa wewe ndugu hata unaweza usijue undani wa huyo Dangote alitaka yamkini kutubadilikiaje,ogopa sana ukiwa na watoto wa kike nyumbani kwako afu anaibuka tu jamaa anasema ataweka ofc ili watoto wako wapate ajira pia,kuna siku utajuta na utatamani kumfukuza lakini atakua keshazalisha watoto wako wote na hauwezi mfukuza kwa kua wajukuu zako watalelewa na nani.Wakuu nawasalimu sana.
Dangote anaenda kenya, hiki kiwanda atakachojenga kenya ndio kile alichotaka kujenga kigoma ili ashike soko la Burundi na Congo, serikali kutoheshimu makubaliano ya kibiashara itatugharimu viwanda kuondoka ni kosa kubwa kwani katika viongozi wanaopiga kelele hakuna wa kuweza kugombana na yajiri level ya Dangote narudia tena hakuna sana tutaumia sisi.
Washauri hakikisheni mnamaliza matatizo forbes washatuandika vibaya hivyo kuweni makini ni rahisi kuwekeza malawi kuliko Tanzania.
Lakini habari yote hakuna sehemu inasema anafunga Tz akafungue Ke. Umeona anafungua kwenye nchi nyingine 9 zaidi ya tz. Na ana ubia na wahandisi wa kichina kujenga hivyo viwanda.Hivi course za political science na public administration ziliwekwa kwa lengo gani... Hv kw nn tunawapa uongozi watu ambao hawana ideas about governance?? Mi naona madudu mengi ya viongozi Africa ni juu ya kuwa mbumbu wa elimu tajwa
Kama Dangotte atafunga kiwanda neno nchi ya viwanda lije lipigwe marufuku bora tuseme nchi ya jembe la mkono hyo ndy itakua saizi yetu..
Mana hata Sasa wasomi wengi ndiko wanaelekezwa na wenye kushka makali kwamba wakajiajili. Inaumaaa Sana. !!!!
Mawazo mgando haya + kejeliKiwanda ni kiwanda tu,Hata cha gongo ni kiwanda kinachoajiri watu. Kwanza maviwanda makubwa makubwa ya nini, hata ndege mbona tumeanza na ndogondogo.
Kiwanda ni kiwanda tu,Hata cha gongo ni kiwanda kinachoajiri watu. Kwanza maviwanda makubwa makubwa ya nini, hata ndege mbona tumeanza na ndogondogo.