Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Hapo point moja ya ku note ni kuwa Kenya wanaagiza coal yote kutoka South Afrika. Kwa nini wasiagize Tanzania. Kwanza ni partner EA member na zipo tax benefits na pili Freight charges ni ndogo kutokana na distance?
Jee mkaa wetu uko bei juu?
Jee mkaa wetu unazalishwa kwa kiwango cha chini ?
Jee kuna ulazima kumlazimisha Dangote kununua coal Tanzania?
Nadhani Tuna matatizo lakini badala ya kuyaangalia kwa solution ya kitaalam na kibiashara tuna yaamua ki mwondo kasi
Hatufiki Ngooo
Jee mkaa wetu uko bei juu?
Jee mkaa wetu unazalishwa kwa kiwango cha chini ?
Jee kuna ulazima kumlazimisha Dangote kununua coal Tanzania?
Nadhani Tuna matatizo lakini badala ya kuyaangalia kwa solution ya kitaalam na kibiashara tuna yaamua ki mwondo kasi
Hatufiki Ngooo