Daniel Cadena kwa alivyoshusha ubora wa makipa. Na figisu zake akibaki Simba hakuna kocha atakaetoboa pale naapa!!!...

Daniel Cadena kwa alivyoshusha ubora wa makipa. Na figisu zake akibaki Simba hakuna kocha atakaetoboa pale naapa!!!...

Una Shauri Vipi Shabiki Yetu??Tumtimue na Yeye kupooza Machungu au??
 
Zile goli tano zimetufanya simba tumepoteana km kuku waliokatwa vichwa
 
Jamaa anavyeti na mzuri wa mazoezi lakini bingwa wa Figisu na hana uwezo kabisa wa kufundisha ata makipa.

Toka aje Simba kama alivyokuwa Azam makipa ndio wanakuwa wabovu zaidi badala ya kuimarika.
Anamkuta Ally Salum wa moto anampa mazoezi kama kakulia academy za Man United. Anawachosha na wanashindwa kufikia malengo kabisa.

Ally Salum kawa mbovu sana kupitia huyu bwana aisee. Azam ilisajili makipa bora sana lakini cadena aliwaaribu kabisa.

Kufundisha kipa sio kuruka tu, kuna footwork, position, right time,


Kama Atasimamia mechi ya Asec Simba itapotea. Na hakuna kocha wa kuja kuandaa timu asiyoijua kwa wiki moja. Mgunda apewe iyo gemu moja tu. Ni mechi muhimu sana Jamani.
Nasikia harufu ya roho mbaya hapa!!
 
Hakuna timu yuoyote duniani ambayo haiwezi kufungwa goli nyingi katika maisha yake yote!
 
Zile goli tano zimetufanya simba tumepoteana km kuku waliokatwa vichwa
Ni ujinga tu!! Hakuna chochote cha ajabu kufungwa goli 5!! Man U, Arsenal, Real Madrid, Barcelona, Liverpool, Man city, Yanga na wengineo pia walishawahi kupata kipigo kama hicho na zaidi ya hicho lakini maisha yaliendelea!!
 
Game nyingi za far rabat msimu uliopita ye alikuwa golini, kama sikosei kacheza mpaka berkane ile iliyokua nchini hapa.
Mkuu makaveli10 Salam.
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba Keeper Ayoub alifanya vizuri sana huko Far Rabat kiasi cha kuwashawishi kumuuza kuja Simba Sc. Je hiyo imekaa vizuri kweli?
Ahsante
 
Wewe unaujua mpira yule kipa ni mbovu kupita kiasi hana hadhi hata ya Simba SC B, Ayoub kafanyiwa figusu mbaya hadi sasa yupo kama kopo
Kwa Ayub kufanyiwa Figisu, mnamsingizia Ally wa watu.
 
Ni ujinga tu!! Hakuna chochote cha ajabu kufungwa goli 5!! Man U, Arsenal, Real Madrid, Barcelona, Liverpool, Man city, Yanga na wengineo pia walishawahi kupata kipigo kama hicho na zaidi ya hicho lakini maisha yaliendelea!!
FB_IMG_1699986052441.jpg
 
Leo nakumbushia tu hakuna kocha atatoboa kufanya kazi na cadena. Anaharibu viwango vya makipa kwa kuwarusha kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom