Daniel Chongolo awa Katibu Mkuu CCM

Chongolo
Suluhu.

Vowels trending inaendelea
Cc Pascal Mayalla
Mkuu The Boss , haya mambo ya numerology, watu humu hawayajui!.
P
 
Huyu Chongolo ndie katibu mkuu wa kwanza mwenye CV weak toka TANU na CCM vianzishwe.Makatibu wakuu waliomtangulia walikuwa na very strong CV
Unachokisema ni sahihi kabisa,maana hata mwenyewe namjua vizuri sana.Ila hata Mama naye CV yake sio kubwa ndio mana ametafuta anayeendana naye!. Ndege wanao fanana huruka pamoja mzee.

But ukiachana na mambo ya CV ya jamaa ni mnyenyekevu sana,na MTU poa sana.
 
Nikionaga comments za hivi nahamasika kutafuta Pesa zaidi ili nisilazimishwe kuongea hiyo lugha ya Malkia. Kiingereza kimenishinda kabisa na Shahada yangu niliyoipambania kwa jasho na kamasi.

Kwahiyo hata enterpreneurship ni changamoto 😎
 
Kwa hiyo Makonda ndiyo Basi tena?
Yaani Mama wa Watu ( Mheshimiwa Sana ) amrudishe Madarakani Mtu ambaye alimhatarishia Nafasi yake ndani ya miaka Mitano iliyopita kwa Kumfitinisha na Kumchongea kwa Bosi wake Mkuu Mtukutu, Mkurupukaji na mwenye Visasi vingi?

Nitamdharau mno Mama ( Mheshimiwa Sana ) nikisikia amemteua huyu 'Intarahamwe' wa Kanda ya Ziwa katika Nafasi yoyote ile kwani kwa zile 'dossiers' zake zilizopo Idara Nyeti ni Mtu Hatari mno kwa Ustawi mzima wa Amani ya Tanzania yetu hii.
 
Ninachojua mwaka 1999 - 2001 alisoma elimu ya kidato cha V - VI katika shule ya sekondari Mafinga sasa hivi inaitwa JJ Mungai! Kabla ya kuja kinondoni alikuwa Longido!
Aliuza mashine za magazeti ya uhuru kma skrepa na meko hakumfanya kitu
 
Malizia aliuza mashine za kuprint za uhuru kma vyuma chakavu,meko alipoenda alifoka bdae akamteua dc longido
 
Malizia aliuza mashine za uhuru kma vyuma chakavu ndio meko kumtoa na kumpa udc
 

P -Ea Radio 30-April 2021 Super Breakfast.

Your browser is not able to play this audio.
 
Mnapolaumu basi angalau muonyeshe ufumbuzi ukoje. Sawa kunahitajika Katiba mpya. Mtueleze ITAPATIKANAJE? Mtaisubiri kama zawadi au mtaidai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…