SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Ha ha ha we jamaa wewe...!Mmaafisa vipenyo wengi shule nehiiiii acha tu tunajuana wenyewe ni covering tu ya wazazi wao wapate ajira.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha we jamaa wewe...!Mmaafisa vipenyo wengi shule nehiiiii acha tu tunajuana wenyewe ni covering tu ya wazazi wao wapate ajira.....
Nikionaga comments za hivi nahamasika kutafuta Pesa zaidi ili nisilazimishwe kuongea hiyo lugha ya Malkia. Kiingereza kimenishinda kabisa na Shahada yangu niliyoipambania kwa jasho na kamasi.Lugha ya Malkia kwake ni changamoto
Mkuu The Boss , haya mambo ya numerology, watu humu hawayajui!.
Unachokisema ni sahihi kabisa,maana hata mwenyewe namjua vizuri sana.Ila hata Mama naye CV yake sio kubwa ndio mana ametafuta anayeendana naye!. Ndege wanao fanana huruka pamoja mzee.Huyu Chongolo ndie katibu mkuu wa kwanza mwenye CV weak toka TANU na CCM vianzishwe.Makatibu wakuu waliomtangulia walikuwa na very strong CV
Nikionaga comments za hivi nahamasika kutafuta Pesa zaidi ili nisilazimishwe kuongea hiyo lugha ya Malkia. Kiingereza kimenishinda kabisa na Shahada yangu niliyoipambania kwa jasho na kamasi.
Yaani Mama wa Watu ( Mheshimiwa Sana ) amrudishe Madarakani Mtu ambaye alimhatarishia Nafasi yake ndani ya miaka Mitano iliyopita kwa Kumfitinisha na Kumchongea kwa Bosi wake Mkuu Mtukutu, Mkurupukaji na mwenye Visasi vingi?Kwa hiyo Makonda ndiyo Basi tena?
Aliuza mashine za magazeti ya uhuru kma skrepa na meko hakumfanya kituNinachojua mwaka 1999 - 2001 alisoma elimu ya kidato cha V - VI katika shule ya sekondari Mafinga sasa hivi inaitwa JJ Mungai! Kabla ya kuja kinondoni alikuwa Longido!
Malizia aliuza mashine za kuprint za uhuru kma vyuma chakavu,meko alipoenda alifoka bdae akamteua dc longidoMshikaji amekulia eneo fulani linaitwa Twico kwenye kiwanda cha mbao cha Sao hill- Mafinga.
Ametoka kwenye media akiwa mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru. Amejitahidi kutatua changamoto za ardhi akiwa Longido kbl ya kuhamishiwa Dar.
Yupo humble, si mtu wa majidai, mwenye uwezo fulani wa kutatua changamoto.
Tukiondoa ujuaji uliopo CCM kwamba wapo wenye CCM yao dogo anaweza kumudu!
KILA LA KHERI
Ndugu, kama humjui Chongolo ungekaa kimya.
Kalelewa ndani ya CCM kuanzia akiwa UVCCM na akina Nape, Nchimbi, Bashe nk. Ndie aliekuwa master mind wa kampeni za kuhuisha chama kwenye ziara ya miaka mitatu waliyofanya kuzunguka nchi nzima kipindi kile wakiwa na katibu Mkuu Abdulrahmani Kinana na Nape Nnauye. Ana masters ya uongozi kutoka Mzumbe University na kapata mafunzo maalum ya siasa na uongozi Urusi. Amekuwa akitumwa kwenye uangalizi wa chaguzi mbalimbali nje ya nchi kama mwakilishi wa CCM, zikiwemo Zambia, Zimbabwe, Malawi nk. Usimchukulie kirahisi rahisi namna hiyo mazee.
NYONGEZA
Kabla hajateuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Longido mnamo 2016, alikuwa ndie Mkurugenzi Mkuu wa vombo vya habari vya CCM kwa maana ya Magaeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani na redio Uhuru. Alipoteuliwa akaacha ukurugenzi na kwenda kutumika Longido mkoani Arusha, kisha akahamishiwa Kinondoni. Siri yake kubwa ni kwamba anapenda kufanya mambo yake KIMYA KIMYA sana, huwezi kujua kirahisi. Hata kwenye chama hana umaarufu mkubwa wa kelele kama akina Nape, Makonda, Gambo, Kheri James na wengine.
Sasa mtu aliyeaminiwa kiasi hiki hawezi kuwa mwepesi mwepesi.
Mkuu The Boss , haya mambo ya numerology, watu humu hawayajui!.
Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake!
Eti chaguo la Mungu ! Chaguo gani la Mungu linalowekwa kwa kura za wizi na ulaghai ? Huo wizi umefanyika wap wakat kila jimbo palkuwa na wakala na amesain matokeo ndo yakatumwa NeC? Hahah Fisad papa waTanzaniia tumemkata tena, akagombee uraisi Zanzbar au Fifa anaweza shindawww.jamiiforums.com
PElections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake!
Edward Lowassa ni nani? Wewe Pasco nnakusihi kaa kimya na ukubali matokeo. Amini. Unajua bwana watu tuliomba makanisani na misikitini,na tunaamini kiongozi yeyote anatoka kwa MUNGU na kwa makusudi mazima kwa watu wake.hvyo basi mimi binafsi naamini kua MAGUFULI ni chaguo la MUNGU na...www.jamiiforums.com
Mtu anaepigwa na mkewe hawezi kuongoza cdm labda ccm,cdm kuna wanaume ameenda ccm kuwafuata wavulana wenzakeShida Chadema alivyo ondoka Balozi Dr. Slaa wakasema hakuwa na umuhimu wowote kumbe ndo wanapotezaga watu muhimu .
Picha tafadhali
Ndo ameshakuwa Katibu Mkuu. Kajitundike 🤣🤣CV ndogo sana hiyo hamna kitu
Mnapolaumu basi angalau muonyeshe ufumbuzi ukoje. Sawa kunahitajika Katiba mpya. Mtueleze ITAPATIKANAJE? Mtaisubiri kama zawadi au mtaidai?Mkuu maccm ni wale wale sitegemei kuona jipya lolote zaidi ya mauza mauza ya miaka nenda miaka rudi. Katiba ile ile iliyombeba yeye kuingia Ikulu kwenye COVID-19 anapiga kimya. Kuhusu kilio kikubwa cha Watanzania cha kupata katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi bado ANADEMKA.