Fafanua mkuu, WEAK how? Isije kuwa ni chuki binafsi tu zinakuandama. Hana elimu kama Kamonda ama? Hana uzoefu na chama? Hajaanzia UVCCM? Au kwa kuwa anafanya kazi zake bila kelele wala mbwembwe kama mwehu Kheri James ndio mnaona hafai?Huyu Chongolo ndie katibu mkuu wa kwanza mwenye CV weak toka TANU na CCM vianzishwe.Makatibu wakuu waliomtangulia walikuwa na very strong CV
mmmmmm uongo mkubwa na utapeli wa mchana kweupeOoooh kumbe basi ndie aliekuwa boss wa vijana wa buku7, ndio maana kuna mmoja anatoa povu.
Sababu?Napinga Chongolo hafai hiyo nafasi.Take note nilipinga Bashiru kuteuliwa na napinga Chongolo kupewa hiyo nafasi
uwezo huo hana looo .Hana uwezo wa kupambana mitandaoni narudia hana sembuse kuwa kiongozi wa wapiganaji wa kupigania CCM mitandaoniOoooh kumbe basi ndie aliekuwa boss wa vijana wa buku7, ndio maana kuna mmoja anatoa povu.
Wanaomtarajia mama afanye reform ya Nchii watasubiri sana mama ni MTU wa nadharia na mbaya zaidi inatangulia ccm kabla ya Nchi so hakuna jipyaKama kapata kigugumuzi kuhusu katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi na wale COVID-19 basi ujue hana jipya huyo uongo mwanzo mwisho, kulembua macho na KUDEMKA kati ya Dom, Dar na Zenj ndiyo mbele kwa mbele.
Wanaomtarajia mama afanye reform ya Nchii watasubiri sana mama ni MTU wa nadharia na mbaya zaidi inatangulia ccm kabla ya Nchi so hakuna jipya
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Kwani CV ya mwenyekiti wake ikoje?!Huyu Chongolo ndie katibu mkuu wa kwanza mwenye CV weak toka TANU na CCM vianzishwe.Makatibu wakuu waliomtangulia walikuwa na very strong CV
Kigogo halina taarifa makini tena siku hizi! Lipo lipo tu!Mw hata siwajua mkuiu, Nimesoma kwa Kigogo ndio maana nikasema According to
Katibu mkuu ndie mtendaji mkuu wa chama mwenyekiti aweza kuwa hata darasa la saba katibu mkuu sio .CCM sio CHADEMA CV muhimuKwani CV ya mwenyekiti wake ikoje?!
Huyu Yehodaya ana ugomvi binafsi na huyo jamaa,inawezekana alimgonga mara moja na kuachana naye wakati Yehodaya alijua amepata buzi la kulichuna,maana siyo kwa povu hilo.Kuna jinga moja la Lumumba lime panic hadi linatoa povu YEHODAYA.
Alikua anajua.Mimi sijui ninachokumbuka kuhusu Chongolo ni ile siku alipofokewa na DAUDI ALBERT BASHITE kama mtoto mdogo.
Chongolo alikuwa anamzoom tu dogo Bashite.
Swali hivi Bashite alikuwa anashinda Ikulu kwa baba yake JPM ila alikuwa hajui kuwa Chongolo ni Afisa Kipenyo mwenye cheo cha Senior Officer?
Bashite rudi Kolomije.
Huyu alikugonga akakuacha ndiyo hasira zote hizi,mwache ana familia yake tafuta wa kwako,chuki hazitakusaidia huyo ndiyo ameshaula hivyo. Tuliza mshono.Nivurugwe kwa kipi Chongolo sio hamna kitu looo
Nasikitika sana kuwa kuna watu wanaliamini hili likigogo... ama kweli ujinga hautaja ishaKigogo halina taarifa makini tena siku hizi! Lipo lipo tu!
Duuh!! Kanya kwote huko?!yaani konda boy kila sehemu huwa amenyea kambi...., kwa VP mpango alinyeaga kambi wakati anamkoromea inshu ya makontena yake bandarini kodi..., haya huku tena kwa SG Chogolo alishamkoromeaga....kwa PM Maja pia alishanyeaga kambi....
Pumbavu kweli wewesina jina lakini Chongolo no no no no
Wivu na chuki tu ya kupigwa kubuti.Pumbavu kweli wewe
Hivi unadhani wakina Mangula, Rais Samia na Wazee wale wastaafu na system ya nchi akili hawana ila wewe kenge ndio una akili
Achana naye huyu YEHODAYA. Ukifuatilia comments zake humu utagundua ni Mtu aliye panic sana, nahisi Ni mmoja wa waliokuwa wanategemea hiyo nafasi na kama sio yeye basi alitegemea atateuliwa mmoja katika Timu yake.Fafanua mkuu, WEAK how? Isije kuwa ni chuki binafsi tu zinakuandama. Hana elimu kama Kamonda ama? Hana uzoefu na chama? Hajaanzia UVCCM? Au kwa kuwa anafanya kazi zake bila kelele wala mbwembwe kama mwehu Kheri James ndio mnaona hafai?