Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Anajitahidi sana kwa kadri ya uwezo wake kufanya mambo chanya yenye kutuletea maendeleo.Tunataka maendeleo mambo ya uungwana akafanye kwenye familia yake huko
Soma na uelewekwamba huyu Daniel Chongolo ni kijana?
Hivi unajitambua kweli wewe?
wewe ndio unatakiwa uandike vizuri ueleweke unavyotaka kueleweka, ila hapo umeandika kichawa sana eti jamaa naye ni kijanaSoma na uelewe
Kama ni kweli anazo hizo sifa, anafanya nini huko CCM? Umewahi kujiuliza swali hilo hata mara moja kabla ya kuanzisha hii thread? Na kama kweli kalelewa ndani ya CCM, hizo sifa unazompa kazitoa wapi?Ndiye Katibu Mkuu wa CCM asiyejivuna na ni mtu muungwana sana! Daniel ni moja ya vijana waliokuzwa na kulelewa na CCM na kuiva hasa.
Ucha Mungu wake pia ni ushahidi tosha Daniel anaiishi misingi ya kiimani. Namna anavyozungumza na kujali hakika unaweza kuona wazi huyo bwana si mtu aliye na majivuno hata kwa nafasi kubwa aliyonayo ndani ya Chama.
Ukiachilia makandokando ya Makada wengi wa CCM lakini ni vigumu mno kwa Daniel kunyooshewa kidole kwa ufisadi japokuwa nafsi ya mtu aijuaye Mungu na yeye mwenyewe.
Heshima yangu juu yake Daniel. View attachment 2362947
Naunga mkono hojaNdiye Katibu Mkuu wa CCM asiyejivuna na ni mtu muungwana sana! Daniel ni moja ya vijana waliokuzwa na kulelewa na CCM na kuiva hasa.
Ucha Mungu wake pia ni ushahidi tosha Daniel anaiishi misingi ya kiimani. Namna anavyozungumza na kujali hakika unaweza kuona wazi huyo bwana si mtu aliye na majivuno hata kwa nafasi kubwa aliyonayo ndani ya Chama.
Heshima yangu juu yake Daniel. View attachment 2362947
Kwangu mimi ni kijana.wewe ndio unatakiwa uandike vizuri ueleweke unavyotaka kueleweka, ila hapo umeandika kichawa sana eti jamaa naye ni kijana
Halafu acha kujipendekezapendekeza jamaa hana maajabu yoyote
Duh,kmbe ulijipigia kampeni kiaina hapoNaunga mkono hoja
P
jamaa yupo 60+ huko ila anajipendekeza kama kijana wa 20s, sasa hapo anapoangaia clip zake hizi siju ainanajifiiriajeDuh,kmbe ulijipigia kampeni kiaina hapo
Ova
Paskali Ana heshima yake lakini mkuujamaa yupo 60+ huko ila anajipendekeza kama kijana wa 20s, sasa hapo anapoangaia clip zake hizi siju ainanajifiiriaje
ajitambue hana vigezo na aache kujipendekeza
Mzee wangu mbona asante nyingi sana mpaka mahali pasipotakiwa asante wewe unatoa asante?Naunga mkono hoja
P
Mkuu inatosha tuishie hapoNianze kwa kusema usilolijua ni kama usiku wa giza. Laiti mtoa mada ungejua kile kilichofanywa na huyo kiongozi unayempamba usingethubutu kuleta uozo huo hapa JF. Ni kweli kila binadamu anayo madhaifu yake ila si kwa kuminya haki za wanyonge wa hali ya chini hasa makazi yao.zoezi lililowahi kufanyika huko Mbweni mpiji karibu na makazi yake mara tu baada ya kuteuliwa nafasi hiyo kubwa ktk chama,Mola ndiyo ajuaye namna mkakati wa chini kwa chini ulivyosukwa kwa kumshirikisha mtendaji wa eneo hilo kuwabolea wakazi wa eneo hilo nyumba zao kwa kigezo kuwa Mheshimiwa hawezi kuishi na masikini karibu yake.baada ya mission kukamilika,mtendaji inasemekana alinunuliwa harrier,jambo lililopelekea wananchi kutaka kummaliza mtendaji huyo badala yake akihama ofisi kwa muda kadhaa!
Nikili wazi, binafsi ni mdau wa chama lakini nilisikitishwa na jambo hilo sana kwa wananchi wanyonge wasio na uwezo wa kujenga majumba mazuri na kuishi kama wao.ikumbuke mheshimiwa baada ya kuteuliwa ndipo alipojenga ghorofa hapo kwake na hivyo kuwaona wanaomzunguka hasa waishio karibu na maeneo ya kuelekea walipokuwa wanachimba mchanga,kuwa hawafai na kisha kuwabomolea nyumba zao, mbali na viongozi kadhaa wa wizara, mwakilishi wa wananchi kufika eneo hilo wakati wa mgogoro lakini walalahoi hawakuambulia kitu.usilolijua ni kama usiku wa giza na hakika moyo wa mtu ni kichaka,Mungu atusamehe sana.
Watu wamekuwa wakusifia tu hasa vijana tunaotafuta teuzi za michongo.nchi hii kama Taifa bado tunasafari ndefu sana.Mkuu inatosha tuishie hapo
Usiendele kumwaga mchele
Si unajua kuna watu wengine wakiona mapicha,wakimsikia mtu anavyongea
Basi wanamuamini
Ova
Sawa KABISAANdiye Katibu Mkuu wa CCM asiyejivuna na ni mtu muungwana sana! Daniel ni moja ya vijana waliokuzwa na kulelewa na CCM na kuiva hasa.
Ucha Mungu wake pia ni ushahidi tosha Daniel anaiishi misingi ya kiimani. Namna anavyozungumza na kujali hakika unaweza kuona wazi huyo bwana si mtu aliye na majivuno hata kwa nafasi kubwa aliyonayo ndani ya Chama.
Ukiachilia makandokando ya Makada wengi wa CCM lakini ni vigumu mno kwa Daniel kunyooshewa kidole kwa ufisadi japokuwa nafsi ya mtu aijuaye Mungu na yeye mwenyewe.
Heshima yangu juu yake Daniel. View attachment 2362947
We Mkuu mrangi wa Drive In mafletini, mimi sikujipigia debe bali nilikisaidia chama changu kituteulie wagombea wazuri. Kwanza nilianzia na kutoa ushauri kwa chama changu Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha IpasavyoDuh,kmbe ulijipigia kampeni kiaina hapo
Ova