Duuh! Profesa Polepole!Kuna vyeo viwili katika taifa hili vimelaaniwa na mungu, Katibu Mkuu CCM na Katibu Mwenezi CCM.
Daniel Chongolo ameanza kujisahau kama alivyokua anajisahau Profesa Polepole. Muda wake utapita na yeye, acha aendelee kujichomoa akili.
Waandishi wa habari wamekuwa watu wa hovyo sana nchi hii kwa kuwa wote wamekodolea uteuzi!Kilichonichosa zaidi ni waandishi wa habari hapa Nchini.
Mtu anajibu swali linazaa maswali yakujifunga halafu hawamuulizi.Halafu aliyewaita anajiona mjanja.
Teuzi zimeathiri na kuwatia woga waandishi wa habari
Tume ya uchaguzi inaleta chakula kwa CCM kupitia wananchiKatibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.
Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.
Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.
Wajinga ni sisi mkuu unadhani tukishinikiza kwa kuchoma ofisi za kijani Kila siku hawatatusikia maana tukisema tuwasubiri waamue wao neverIshiii ivi kumbe tuna viongozi wajinga kupindukia.
Yaan Kwamba Tume huru ya Uchaguzi, haiwaletei wao CHAKULA.
Kwamba hii tume iliyopo, inawajaziaa wao na familia zao vyakula.
Kupitia polisiTume ya uchaguzi inaleta chakula kwa CCM kupitia wananchi
Wanataka kubaki madarakani mpaka wafe!
Siyo kwa CCM bali viongozi wa CCM! Kuna wanachama wa CCM wanategemea nguo za CCM tangu January hadi December kujisitiri vinginevyo watatembea uchi!Tume ya uchaguzi inaleta chakula kwa CCM kupitia wananchi
Watazinywa tu damu zetu!Wanasubiri tumwage damu