Dar Airport Named One of the Worst in Africa!

Dar Airport Named One of the Worst in Africa!

Kwa kweli kiwanja cha ndege cha Dar kina kasoro kubwa. Mbona nchi inakusanya fedha nyingi kwa kwanini wasitengewe fedha za kutosha ili kuleta uwanja huu katika ngazi ya Kimataifa.
 
Km mbwa,panya, ng'ombe wanafundishika, iweje kwa binadamu?. Kwamba Watanzania hawafundishiki?, tuache kujidharau hivyo jamani na kuwatukuza Wazungu.
Suala si kufundishika bali committment yao kwenye kazi hasa kazi za umma. Waafrika wengi bila vitisho vya kufukuzwa kazi, kupunguziwa mshahara au marupurupu hawajitumi. Hii pia inaweza kuwa inachangiwa na mifumo yetu ya utawala kuanzia ikulu hadi huku chini siyo bora sana japo technologia (hasa TEHAMA|) inaanza kutubadilisha taratibu.
 
Suala si kufundishika bali committment yao kwenye kazi hasa kazi za umma. Waafrika wengi bila vitisho vya kufukuzwa kazi, kupunguziwa mshahara au marupurupu hawajitumi. Hii pia inaweza kuwa inachangiwa na mifumo yetu ya utawala kuanzia ikulu hadi huku chini siyo bora sana japo technologia (hasa TEHAMA|) inaanza kutubadilisha taratibu.
Chifu mfumo wa malipo ya mishahara kwa nchi zetu za Afrika ni tofauti na huko Amerika na Ulaya Ndio maana unaona km vile wale wanawajibika sana.Wenzetu kule wanalipana kwa masaa ndio maana mtu lazima ajitume,huku Kwetu tunalipana tu kwa mwezi,mtu anayejituma kisawasawa analipwa sawa tu na yule ambaye ni goigoi Kazini sasa Kwanini kusiwe na kutegeana hapo?.
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

Siku zote walikuwepo wapi mpaka Mama alipo zindua hiyo Documentary ndio wanaanza mapicha yao, mara yule Mnaijeria mara leo hili.
 
Royal Tour! My foot!
Jana nilikuwa naangalia Documentary moja kupitia National Geographic Channel wakionyesha jinsi uwanjanja wa ndege wa kimataifa Dubai wanavyofanya kazi we bwana we! Watumishi kuanzia meneja wa uwanja, upakuaji na huduma ndogo ndogo wamejaa wazungu (UK, USA, nk) wanafuatia wahindi na wazawa wachache ambao hata rafudhi yao wanaonekana ni waarabu ambao wamesoma ama kuishi Sana majuu...
Kwanini tusiwape tu mabeberu wakaendeshe hizi sekta muhimu kama Bandari, viwanja vya ndege, mahoteli makubwa, nk
ngoja waje CCM kukuponda, maana wanasema nchi kama Tanzania yatakiwa kuwa inatoa misaada hadi nchi la Ulaya na Asia.
 
Chifu mfumo wa malipo ya mishahara kwa nchi zetu za Afrika ni tofauti na huko Amerika na Ulaya Ndio maana unaona km vile wale wanawajibika sana.Wenzetu kule wanalipana kwa masaa ndio maana mtu lazima ajitume,huku Kwetu tunalipana tu kwa mwezi,mtu anayejituma kisawasawa analipwa sawa tu na yule ambaye ni goigoi Kazini sasa Kwanini kusiwe na kutegeana hapo?.

Unmeongea Pumba, Acha kutetea utendaji mbovu wa wafanyakazi
 
Survey ya mwaka 2017, ripoti ya mwaka 2021?

Terminal 3 ilifunguliwa lini?
 
Royal Tour! My foot!
Jana nilikuwa naangalia Documentary moja kupitia National Geographic Channel wakionyesha jinsi uwanjanja wa ndege wa kimataifa Dubai wanavyofanya kazi we bwana we! Watumishi kuanzia meneja wa uwanja, upakuaji na huduma ndogo ndogo wamejaa wazungu (UK, USA, nk) wanafuatia wahindi na wazawa wachache ambao hata rafudhi yao wanaonekana ni waarabu ambao wamesoma ama kuishi Sana majuu...
Kwanini tusiwape tu mabeberu wakaendeshe hizi sekta muhimu kama Bandari, viwanja vya ndege, mahoteli makubwa, nk


We ushalewa, go home.
 
Wakati tunaendelea kupigia chapuo Filamu yetu ya Royal Tour (Mimi naunga mkono mia mia) naomba tukumbushane tu kuwa tusisahau viwanja vyetu vya ndege. Hivi viwanja ndiyo uso wa nchi yetu. Mgeni anapofika kwenye uwanja ndege mara moja anaweza kujua amefika kwenye nchi ya namna gani kutokana na ubora wa huduma anazopewa na ukarimu.

View attachment 2193420

Mtandao wa Shirika la Ujerumani la DW limeutaja Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere wa jijini Dar es Salaam kama moja ya viwanja vitano vinavyoongoza kwa huduma duni barani Africa. Viwanja vingine vilivyo kamilisha viwanja vitano vyenye huduma duni ni:
1. Khartoum Arport wa Sudan
2. Ndjili Airport wa Kinshasa DRC
3. Tripoli Int. Airport Libya
4. N'dajamena Int. Airport wa Chad
5. Julius Nyerere Int. Airport Dsm Tz

Serikali tupieni macho Dar Airport msijekuwa mnatwanga maji kwenye kinu. Nyie mnapambana kuleta watalii wenzenu pale Airport ya Dar wanapambana kuwafukuza.

We mwenyewe unapanda ndekule bus na alhushoom hizi taarifa za kuchafua nchi unaweza kuzithibitisha? Tuna viwanja vibovu kama Robert Mugabe cha Harare au Bakili Muluzi Blantyre hawakuviona?
 
Royal Tour! My foot!
Jana nilikuwa naangalia Documentary moja kupitia National Geographic Channel wakionyesha jinsi uwanjanja wa ndege wa kimataifa Dubai wanavyofanya kazi we bwana we! Watumishi kuanzia meneja wa uwanja, upakuaji na huduma ndogo ndogo wamejaa wazungu (UK, USA, nk) wanafuatia wahindi na wazawa wachache ambao hata rafudhi yao wanaonekana ni waarabu ambao wamesoma ama kuishi Sana majuu...
Kwanini tusiwape tu mabeberu wakaendeshe hizi sekta muhimu kama Bandari, viwanja vya ndege, mahoteli makubwa, nk
Tatizo humu jf ni mavuvuzela wanojua kila kitu watakuita msaliti!
 
Unmeongea Pumba, Acha kutetea utendaji mbovu wa wafanyakazi
Kichwa chako kilichojaa Makamasi ndio kinaona kuwa nimeongea pumba,lkn mwenye Akili atanielewa.Maofisini watu wanafika muda wanaotaka wao, wanafanya kazi kidogo muda wa kazi Umeshafika wanasepa zao, Mfanyakazi ambaye ni mtu wa kujituma akishaona hivyo lazima avunjike moyo.
 
Back
Top Bottom