Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu fuatilia zaidiKwa wana JF,
Natambua kuwa kuna threads 2 humu; ila taarifa ni kuwa Akram Aziz ambaye ni mdogo wa Mbunge wa zamani wa Igunga, Ndg. Rostam Aziz, ni kweli alikamatwa na Vyombo vya Dola na mchana huu amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu.
Kwa kuanzia, ana makosa takribani 75 ambayo anahusishwa nayo. Kuna utakatishaji fedha/uhujumu uchumi pia katika makosa hayo.
Taarifa zaidi zinakuja.
Kwa Taarifa za awali Soma => Akram Aziz adaiwa kukamatwa na nyara za Serikali... - JamiiForums
Na ndio sababu ya uonevu unaofanywa, sababu ni chuki tuu!Naichukia hiyo Mihindi toka enzi za EPA na Richmond. Siwezi geuka kuwa mtetezi wao hata siku moja.
Visasi vya nini kwani mtuhumiwa ni mwsnasiasa?Hiyo kesi ikiendeshwa kwa msukumo wa chuki na visasi ni vigumu haki kutendeka.tunatoa angalizo tu
Visasi vya nini kwani mtuhumiwa ni mwsnasiasa?
nakuunga mkono asilimia mia moja,pana dhana imejengeka kwa sasa kwamba akikamatwa tajiri akapewa mashtaka ya makosa aliyoyafanya na akaadhibiwa kisheria basi maisha ya sisi wananchi wa kawaida ndo yanakuwa mazuri,hilo sio sahihi na najua watu wengi wanaoshangilia haya hawashangilii kwa maana ya mkosefu kaadhibiwa ila wanashangilia kwa kudhani wao baada ya hapo watakuwa na maisha mazuri kitu ambacho si sahihi kabisa ifike mahali watanzania tubadiri mitizamo yetuHUWEZI FANIKIWA KWA KUMCHUKIA ALIYEKWISHA KUFANIKIWA
Huko sio kuchukiwa, huko ni kufuata na kuhukumu sheria alizovunja huyo bwanaako.HUWEZI FANIKIWA KWA KUMCHUKIA ALIYEKWISHA KUFANIKIWA
ulijuajeeeeNa ndio sababu ya uonevu unaofanywa, sababu ni chuki tuu!
Kaka yake mnaye hapo Chadema au ni chama kingine?Kaka yake ni mwanasisa ana maslahi na mdogo wake
Kaka yake mnaye hapo Chadema au ni chama kingine?
Ni kweli siwapendi, walituibia vya kutosha Tanzania na adhabu pekee walipata ni kuachia Ubunge na kujivua nyadhifa zao kwenye chama chake.Na ndio sababu ya uonevu unaofanywa, sababu ni chuki tuu!
Mlipoenda kumpekua mlienda na search warrant?Ni ndugu was Rostam..I believe