TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

nitachngia tu ile niko na uelewa na ufahamu nayo,

ila sio kwa kukwepa na kuruka maswali magumu ya msingi maili 200 na kukimbilia hitimisho dhaifu sana la kinyooonge 🐒
 
Mwanzo 4:10
 
MTAZAMO WANGU;
Naona ingefaa Waziri wa Ulinzi/Mkuu wa Majeshi,angechukua hatua, kwasababu hii ni dalili/ishara ya kuwa nchi/Taifa haliko salama,na maadui wakuu ni genge la polisi na hawa wanao jiita usalama wa taifa,ambao kiuhalisia ni usalama wanasiasa.
 
SAWA.
Lakini ukitazama safu nzima ya wanao simamia utekaji huo na uuaji ni watu toka huko huko.
Maana yake ni kwamba hawa wanaotekwa huku siyo watu wanaothaminiwa na kundi hilo linalo endesha utekaji likisimamiwa na hao wa huko.
 
Yaani hawa watu ni waovu sana. Wanateka na kuwa Mzee wa miaka karibu 70. This is not right. Halafu Maza anakuja na kutweet cha kujisafisha. Seriously...!!?
 
Rais amaanishe maneno yake ikiwezekana fukuza IGP na wengine utaona kama kazi haitafanyika.Tunaleana kipumbavu sana tukubali au tukatae,tabia ya jeshi la polisi ni mbaya na jeshi hili linatumika vibaya sana,watanzania ni binadamu wanaoteseka sana na wako kimya,viongozi waogope sana kuongoza watu kimazoea.hawa wanaopotea Wana familia zao,unadhani familia inaumia kiasi gani?
 
Ile sheria mpya ya usalama wa taifa hili ndio lilikuwa lengo lake. Anachofanya rais ni hadaa ili kupooza watu. Lakini ukweli ni kuwa hakuna hatua yoyote serious itachukuliwa. Tusubiri hadithi za kutunga na uwezekano wa ripoti kutokutolewa ni mkubwa mno.
 
Hio namba 3 ndio inayoongoza kwa kuwapeleka watu Katavi na Ununio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…