TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Yes..

Tunapaswa kujilinda.....

Tunapaswa kuomba ulinzi wa Mungu na atufundishe namna ya kukabiliana na shetani hawa wanapotujia kutudhuru....

Usikubali kwenda kufa kizembe. Bora ufe ukipambana nao iwe AMA ZAO, AMA ZANGU.....
 
Amir Jeshi atumie nguvu na madaraka yake kudhibiti vyombo vyake vya dola.
 
Kuna watu huwa wanawasema sana wanyaruwanda, wahutu na watusi kama watu walio na roho mbaya sana, mtu fulani anapofanya jambo baya sana la kikatili kwa mwenzake utasikia kauli kwamba "huyu hawezi kuwa Mtanzania", "arudishwe kwao Burundi", "Watanzania hatuko hivyo"na kauli nyingine za kibaguzi kama hizo.

Sasa ni dhahiri kwamba Watanzania nao ni binadamu sawa na binadamu wengine wote wanaoutuzunga nchi za jirani linapokuja suala la ukatili na kinachoitwa roho mbaya, hatuna tofauti nao, lilikuwa ni suala la kutufautiana nyakati na muda tu.
 
Lawama mh.raisi hawezi kuzikwepa kwasabab ndy kichwa na sura ya nchi lakin haina uhalali kuwa naye ni muhusika wa vitendo tajwa. Ukubwa jalala kila jambo baya lazma atupiwe yeye mkuu wa nchi. Lakin kwny uhalisia hvi vtu vina mambo na siri nyng ndani yake, badala ya kuoneshan vidole its time kama nchi kuonesh mshikamano na viongoz kupinga haya matukio na kuwapa ushirikian jesh la polisi, hata majambaz wanawez sema wao n polisi kumbe sio, at least tuwe na imani japo kdgo na jeshi , na tunaomb jeshi lisawazishe haya mambo yanaharibu sana uongozi wa samia na taswira ya nchi.
 
Usichukulie mambo kirahisi wewe ungekuwepo mle ungefanya nini au unaandika tu
Hapana, Matrix19 Yuko sahihi...

Sema tu kuwa, watu wengi bado hawana awareness ya uovu na mauaji haya yanayoendelea hapa nchini......

Laiti abiria wa bus lile wote wangekuwa wako aware, hayo magaidi na bunduki zao wasingefanya lolote. Lazima wangekimbia wenyewe.....!!

Aidha wengine wanajua lakini wanafikiri yanawahusu wanasiasa tu hasa CHADEMA lakini ukweli ni kuwa kila mtu anaathiriwa na ujambazi na mauaji haya ya kutengenezwa na watawala...
 
Usichukulie mambo kirahisi wewe ungekuwepo mle ungefanya nini au unaandika tu
Hakuna mahali nimesema rahisi na ndio maana nikasema "kama".

Kiburi huwa ni jadi ya viongozi ila mzaha mzaha , Mubaraka, Gadaffi, Al Bashir waliondolewa madarakani licha ya kujiona hawagusiki.

Nguvu ya umma ikiamua hizo risasi si kitu .
 
Angekuwa mtoto wake, mtu wake wa karibu asingechukua hatua?
 
So sad! Yaani mtu anakwenda kuuawa kirahisi kama vile ng'ombe. Dah!
Kutofautiaba itikadi kihalali adhabu ni kifo.
Waliopigania uhuru wakifufuka wataupigania tena
 
Ina manufaa kwa watawala tu.
 
Huwa nasemaga watanzania wana roho mbaya mnyarwanda
Ana subiri.....
Na kwa matukio haya ya kutoana uhai chuki ndiyo zinazidi kupandikizwa

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…