Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Amejisemea YEYE huko Kagera....View attachment 3091036
Haya ndio mnayoyahubiri huko na kuyafurahia hylayo ya watu kutekwa na kuuawa.
UVCCM ni mangali tupuHaya yanayoendelea hivi sasa hayatadhibitika huku tukiwa na kikosi kisichoelezeka! Kikosi hiki ambacho huonekana kwenye mikutano ya CCM kikilisaidia jeshi la polisi hatujui uhalali wake huku kukiwa na onyo toka UVCCM Kagera kwamba polisi wasihangaike endapo mtu atapotea, wao watakuwa wamekwisha mshughulikia.
UVCCM ni genge la majangili tupuView attachment 3091036
Haya ndio mnayoyahubiri huko na kuyafurahia hylayo ya watu kutekwa na kuuawa.
Ndio. UVCCM wote ni wamoja mkuu; hawawezi kukwepa lawama kwa mauaji yanayoendelea hapa nchini.Kwani ni UVCCM taifa waliotoa tamko hilo ?!?[emoji44][emoji44]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama siyachama baada ya kusema hayo chama kililaani na kuhojiwa na vyombo vya dola kwa kauli hiyo?Amejisemea YEYE huko Kagera....
Akueleze wapi alitumwa na UVCCM TAIFA kusema maneno hayo....
Mtu anaweza kujisemea lolote popote AKIAMUA....
Ni sawa na yule askari polisi "mlevi" aliyekuwa anatoa maneno ya hovyo akiwa ulevini na uniform...kwani alitumwa na jeshi kufanya vile ?!![emoji44][emoji44]
Kwani alikuwa analisemea jeshi pale ?!! [emoji44][emoji44]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
infact,Huku una kebehi....hongera
Lakini nafsi naona iko murwaaa
Sahvi
Ova
Umeandika pumba sijapata kuona.Natakiwa na mimi nikutukane ndio twende sawa ama?
Sio kila mtu gullible wa kuambiwa kitu na kukubali tu kama unavyotaka. Unatoa baseless accusations halafu unataka tukuamini.
Kwa Sasa sina nguvu ya kutukanana mtu na kujikasirisha for no apparent reasons, wakati nahitaji full concentration kwenye mambo mengine ya maisha.
Sehemu ya kukuwa ni kuelewa pia kuna wasaa mitandaoni unaweza kuwa unabishana mkaanga mihogo mmoja ambae hana mbele wala nyuma kodi yake chumba swekeni tsh 30,000 kwa mwezi.
Kodi yangu ya pango hapa £1500 kwa mwezi bado bills nyingine. Nahitaji kichwa changu katika hali nzuri kama huna uwezo wa kujibizana kwa staha kwaheri.
👋
We umeamua kufikia malengo ya wanaofanya hivyo vitendo.Aisee nilijua Siasa nzuri ndio Suluhisho kwa Maendeleo ya Taifa. Siku zote nimekuwa mfuasi wa siasa bora za kujenga hoja.i
Ila sasa zimebadilika wanaopaswa kujibu hoja zetu wamebadiki mbinu.
Mimi natangaza kuachana na siasa mazima. Adhima yao imetimia kwamba watatia vitisho hata kwa kuua hadharani ili washenzi wengine wanaowapinga waamue kuacha au kupotea.
🙌🙌🙌🙌
Ila wee jamaa aisee. Umenisikitisha sanaUnaona sasa Samia ukiambiwa hawa watu sio wastaarabu Umekazana na 4R żako.
You can’t negotiate with terrorists,
Nyuma ya mambo yote haya ni CDM
Haya yanayoendelea hivi sasa hayatadhibitika huku tukiwa na kikosi kisichoelezeka! Kikosi hiki ambacho huonekana kwenye mikutano ya CCM kikilisaidia jeshi la polisi hatujui uhalali wake huku kukiwa na onyo toka UVCCM Kagera kwamba polisi wasihangaike endapo mtu atapotea, wao watakuwa wamekwisha mshughulikia.
Lawama hazijengi,,,na mbaya zaidi Lawama Kwa Wakhfuu waliokwisha tangulia ni Lawama mfu ingali yu hai,,walifanya ya kwao Kwa wakti wao mazuri na mabaya walikuwa nayo Kwa kuwa nao si watimilifu kama tulivyo pia,,,Rekebisha wewe sasa kwa nafasi yako pale ulipojaaliwa kuona palikosewa.CcM ni chama dhalimu. Ninamlaani nyerere yeye ndio kasababisha tufike hapa. Wakati tunaingia kwenye mfumo wa vyama vingi, alitakiwa aivunje na kuifuta kabisa CCM, alete katiba mpya na Sheria Bora ya vyama vya siasa.
Hakufanya hayo, matokeo yake Leo CCM inaona wapinzani wa CHADEMA hawana haki ya kuishi
Sio "kama"CCM ni kama Bokoharam tu
Naona Green guard umekuja kutetea maslahi yenu.Mwenye kumlaani baba wa taifa hulaanika mwenyewe.....
Kama wewe si mtoto basi TAFAKARI...
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
CCM wanachekea chooni kwa mauaji haya kwani yanafanyika kwa manufaa na ridhaa yaoBinafsi nilitegemea Viongozi wa Dini na Madhehebu wangekuwa mstari wa mbele kupinga Mauaji ya Ally Mohamed Kibao
Lakini imekuwa tofauti Kabisa
Niishie hapo 🐼
Kwani kinawapa sadaka!Binafsi nilitegemea Viongozi wa Dini na Madhehebu wangekuwa mstari wa mbele kupinga Mauaji ya Ally Mohamed Kibao
Lakini imekuwa tofauti Kabisa
Niishie hapo 🐼